World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Utawala wa Barca kunyanyasa umeisha na wa Taifa hapa wa Spain kwa WorldCup hii naona unataka kuisha bora bado moja sasa.
 
Leo Spain wanapigwa wiki, kizazi cha Xavier kimeshazeeka kama ilivyochoka barca.
 
Pazi unakumbuka hii post

Wewe acha kujitoa fahamu umesahu kipindi kile ulipokuwa cheerleader wa timu yetu, nilipokuwa ninawanyanyua kwenye majukwaa.

Hii mechi ya leo kuna timu itashinda 3-1, kwasababu timu zote beki zao za kati sio nzuri sana {kwa leo}

Ungeenda bookies dah weekend yako ingekuwa nzuri sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom