Mpira ni wa nguvu sana huu, tuombe timu yetu ishinde.
Ila kama una presha usiangalie gemu ya portugal vs ghana unaweza ukafariki dunia
Ila kama una presha usiangalie gemu ya portugal vs ghana unaweza ukafariki dunia
Oooh umeanza pata presha mapema hii
Kipa anadaka na kulala kabisa as if tayari wana ushindi yaani akili zetu zina uwezo mdogo sana wa kufanya maamuzi ya haraka
yeah #teamghana all the way
Boya kauza mechi asee