HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mpira ni wa nguvu sana huu, tuombe timu yetu ishinde.
Kama umesimama bora ukae maana utaweza dondoka.
Mimi nashabikia Algelia sababu ina nafasi ya kuendelea mbele. Ghana sio kuwa hawawezi wanaweza tatizo ni USA kule

