World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hivi inamana Essien kaishiwa kiasi cha kutostahili hata kucheza dakika chache!?au mgonjwa?
 
Ile posho yao iliwahi? isije ikawa ni mgomo baridi...

mzigo umeletwa cash ndani ya private jet...kufika brazil ukasafirishwa na convoy hadi kambini...vijana wakakabidhiwa na wale vinara wa kudai wakatimuliwa! africa bana...tunaiweza wenyewe
 
Dada nakushauri nenda kulala!Hizi team za Afrika hizi zitakukosesha raha kila siku!Ghana walicheza vyema sana mechi 2 za kwanza ona leo wanavyo boronga

sa hivi hakuna kinachoendelea hapa hakuna hata dalili za kurudisha hapa
 
Dada nakushauri nenda kulala!Hizi team za Afrika hizi zitakukosesha raha kila siku!Ghana walicheza vyema sana mechi 2 za kwanza ona leo wanavyo boronga

mkuu utakua umenifananisha na mtu asiye mimi hapa.
 
Sasa USA wamechangamka ile mbaya dah!!!! Mwanzo walikuwa kama wamesinzia uwanjani.
 
Boateng na Muntari kuulizia posho zao kwa kocha WAMEFUKUZWA
Cameroon wao wote waligoma
Nigeria walikataa kushuka kwenye basi lao majuzi kwa madai ya posho
Ivory Coast wao walinyimwa posho pia lkn wakakubaliana wacheze
Algeria wao walilipwa posho yao YOTE tena waliongezewa zaidi na serikali yao

Algeria watapita
 
Back
Top Bottom