Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,073
- 1,862
Hakuna wa kuaminika wata tusuprise tushindwe kuaminiBora umenena mimi leo Putin anafungwa
Ile posho yao iliwahi? isije ikawa ni mgomo baridi...
Hakuna wa kuaminika wata tusuprise tushindwe kuamini
Mjerumani asitufanyie hivyo bana0-0 Ujerumani na USA zote zinasonga mbele hata kama Ghana/Portugal watashinda kwa idadi kubwa ya magoli.
Hivi inamana Essien kaishiwa kiasi cha kutostahili hata kucheza dakika chache!?au mgonjwa?
Dada nakushauri nenda kulala!Hizi team za Afrika hizi zitakukosesha raha kila siku!Ghana walicheza vyema sana mechi 2 za kwanza ona leo wanavyo boronga
Dada nakushauri nenda kulala!Hizi team za Afrika hizi zitakukosesha raha kila siku!Ghana walicheza vyema sana mechi 2 za kwanza ona leo wanavyo boronga
Mmmh Putin leo anakaa
Boateng na Muntari kuulizia posho zao kwa kocha WAMEFUKUZWA
Cameroon wao wote waligoma
Nigeria walikataa kushuka kwenye basi lao majuzi kwa madai ya posho
Ivory Coast wao walinyimwa posho pia lkn wakakubaliana wacheze
Algeria wao walilipwa posho yao YOTE tena waliongezewa zaidi na serikali yao