Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Unaijua histořia aliyoweka asamoah kwenye wc kwa nchi za aftika au unalaumu kwa kufuata mkumbo anahangaika sana jamaa kwa kifupi ni fowatd anayefaa! Gevinho?..kama unamlaumu hata getvinho basi utakua una matatizo. Style ya gervinho ya kuingia kwenye boksi ndiyo iliyokuwa inatakiwa kutumiwa na timu zote za aftika badala ya kutumia krosi ambazo wwatumiaji hawapo na hawafuati mipia juu. Tatizo nililoliona mimi ni kutojituma tu basi inashangaza sana kuona pirlo na anahaha uwanjani lkn dtogba na etoo wanatembea tuu uwanjani. Kuhusu posho sizani kama ni sababu kwa kuwa kila hatua unayopita unapewa fungua kutosha na fifa sasa hivyo vi posho wanavyodai vitawafikisha wapi. Update. Algeeia wamefuzu naona mtoa uzi hukuwagusia kbs
Unaijua histořia aliyoweka asamoah kwenye wc kwa nchi za aftika au unalaumu kwa kufuata mkumbo anahangaika sana jamaa kwa kifupi ni fowatd anayefaa! Gevinho?..kama unamlaumu hata getvinho basi utakua una matatizo. Style ya gervinho ya kuingia kwenye boksi ndiyo iliyokuwa inatakiwa kutumiwa na timu zote za aftika badala ya kutumia krosi ambazo wwatumiaji hawapo na hawafuati mipia juu. Tatizo nililoliona mimi ni kutojituma tu basi inashangaza sana kuona pirlo na anahaha uwanjani lkn dtogba na etoo wanatembea tuu uwanjani. Kuhusu posho sizani kama ni sababu kwa kuwa kila hatua unayopita unapewa fungua kutosha na fifa sasa hivyo vi posho wanavyodai vitawafikisha wapi. Update. Algeeia wamefuzu naona mtoa uzi hukuwagusia kbs
1.5Ivory coast
Watu wengi walilaumu ile penati lakini ukiangalia utaona matatizo mengi ya ivory cost mfano
-kwenye mechi zote tatu za makundi mid field walifanya makosa yale yale ya kupoteza mpira eneo la hatari na kufungwa na hakuna marekebisho yaliyofanyika.
-walikuja na mtindo wao ule ule wa kuacha kucheza kitimu na kila mmoja kutumia uwezo wake mfano ulikua ukiona uchoyo wa kutoa pasi wa gervinho na kalou.
-kupanga majina na kuacha watu wenye uwezo, wachezaji kama drogba, zokora na hata kalou kiwango kimeisha lakini wakawa wanawapanga tu, lakini wakaacha kuwangepanga wachezaji kama bony, ambao wangecheza na vijana wenzao wenye njaa ya mafanikio kama sergi aurier au didier Ya konan tungeweza kuona mafanikio.
2.Ghana
-ukiangalia ghana nao ni matatizo yale yale ya kwanza kupanga majina, ukiangalia mchezaji kama gyan asamoh huwa anakosa magoli mengi ya wazi ambayo midfield ya ghana huwa inayatengeneza lakini anapagwa tu na hata substution hafanyiwi na mara nyingi unakuta wanaocheza dakika chache kama ayew brother ndo wanakuja kufunga magoli
-siasa kwenye mpira, ukiangalia mechi ya mwisho walikuwa washawatimua muntari na prince-boateng ila ugomvi mkubwa ni masuala ya posho na kuhudumia timu, maana inasemekana wachezaji wa ghana walikuwa wanadai posho ya dola milioni 2 ambayo ni kama yale mambo ya cameroon
Sasa haya mambo yanakuwa yakijirudia worldcup zote lakini sisi waafrica tunasema tunaonewa tunaonewa nini na wakati timu zetu zimejaa mambo niliyoyaeleza hapo juu, watu wengine wanalaumu lile tukio la suarez kunawa mpira south, ivi kwa mfano ingekuwa ni taifa star inacheza wewe ni beki unaona kabisa mpira unaingia nyavuni ungeuacha kwa sababu ya fair play kuliko kurisk penati..?nilimsikia issa hayatou akisema wanataka timu kutoka africa ziongezwe nikajiuliza kuna haja kweli kama hizo zilizopo zenye CAF wanashidwa kuzisimamia na kutoa ushauri..!
NB: Modes naomba msiunganishe huu uzi ili tuweze kuchambua mambo kwa mtazamo mwingine
Aisee kiwango cha soka cha Marekani kimepanda sana. Miaka 20 ijayo wanaweza wakawa moja ya timu bora kabisa duniani.
Kwa upande wa wanawake timu ya Marekani ni moja ya timu kali duniani. Kama sikosei wameshashinda kombe la dunia mara mbili.
Matunda ya soccer moms tutaanza kuyaona muda si mrefu. Kwanza mi naona yameshaanza kuonekana.....
Na jinsi league inavyozidi kushamiri na football kuwa mchezo unaoanza kutoa ushindani mkubwa kwa American Football na Baseball si muda mrefu ujao USA itakuwa ni moja ya timu za kuogopewa duniani.
sikuona match ya Algeria ila am happy kwamba wamepita
Aisee kiwango cha soka cha Marekani kimepanda sana. Miaka 20 ijayo wanaweza wakawa moja ya timu bora kabisa duniani.
Kwa upande wa wanawake timu ya Marekani ni moja ya timu kali duniani. Kama sikosei wameshashinda kombe la dunia mara mbili.
Matunda ya soccer moms tutaanza kuyaona muda si mrefu. Kwanza mi naona yameshaanza kuonekana.....
England wanaojua mpira ni weusi weng wao na sio wazungu na waache kuwasifia sana kina rooney mpka wanajihis ni wa maana sana wakati hata hafikii kiwango cha Balotel. Wajifunze kwa Holland na France au USA na Brasil.Siwezi kusema ni ubaguzi au nini. Nawaachia wenyewe na maamuzi na mapendezeo yao, labda wanataka wabebe au wafanye vizuri kwa England born players.
South America kati ya timu nane saba zimevuka sawa na 87%, Europe kati ya team 12, 6 zimevuka sawa na 50%, Africa kati ya team 5, 2 zimevuka 40%, Asio hakuna iliovuka , Soth America USA kavuka..... kama ntakua sijakosea ..RIA; NIGERIA, ALGERIA! AHSANTENI BI RIA! Bila hao RIA wawili, Africa kwishney! Katika 16 bora, Africa imebakiza team mbili pekee, je Ulaya zimebaki ngapi, Asia ngapi,Amerika Kusini ngap, Australia, Amerika Kaskazini ngapi? Kwa ujumla, team zilizofuzu 16 bora ni zipi kwa majina? Tunaomba kujuzwa kama kuna mdau ana full list kimakundi.au kwa kila bara.
irigi ni mkenya aliyechukua uraia wa ubelijiji
Huyu mjivun CR yeye anachoangalia ni kumzid Lion(Lionel) Messi tu. Hii humsababisha apatwe na kiwewe, badala yake anavurunda. Ona sasa timu yake imetupwa nje, nae kaambulia goli1 tu! Mwenzie Simba Messi anatupia karibu kila mechi, hilo linamuumiza sana CR!
wataiga kung'atana au
Ile staılı ya Cr7 ya kunyoa ıtaıgwa saana katıka VPL
Wc 2014, leo saa 1:00 ni timu gani zinakutana ???
Naomba mnijuze wenye ratiba.
1.5Ivory coast
Watu wengi walilaumu ile penati lakini ukiangalia utaona matatizo mengi ya ivory cost mfano
-kwenye mechi zote tatu za makundi mid field walifanya makosa yale yale ya kupoteza mpira eneo la hatari na kufungwa na hakuna marekebisho yaliyofanyika.
-walikuja na mtindo wao ule ule wa kuacha kucheza kitimu na kila mmoja kutumia uwezo wake mfano ulikua ukiona uchoyo wa kutoa pasi wa gervinho na kalou.
-kupanga majina na kuacha watu wenye uwezo, wachezaji kama drogba, zokora na hata kalou kiwango kimeisha lakini wakawa wanawapanga tu, lakini wakaacha kuwangepanga wachezaji kama bony, ambao wangecheza na vijana wenzao wenye njaa ya mafanikio kama sergi aurier au didier Ya konan tungeweza kuona mafanikio.
2.Ghana
-ukiangalia ghana nao ni matatizo yale yale ya kwanza kupanga majina, ukiangalia mchezaji kama gyan asamoh huwa anakosa magoli mengi ya wazi ambayo midfield ya ghana huwa inayatengeneza lakini anapagwa tu na hata substution hafanyiwi na mara nyingi unakuta wanaocheza dakika chache kama ayew brother ndo wanakuja kufunga magoli
-siasa kwenye mpira, ukiangalia mechi ya mwisho walikuwa washawatimua muntari na prince-boateng ila ugomvi mkubwa ni masuala ya posho na kuhudumia timu, maana inasemekana wachezaji wa ghana walikuwa wanadai posho ya dola milioni 2 ambayo ni kama yale mambo ya cameroon
Sasa haya mambo yanakuwa yakijirudia worldcup zote lakini sisi waafrica tunasema tunaonewa tunaonewa nini na wakati timu zetu zimejaa mambo niliyoyaeleza hapo juu, watu wengine wanalaumu lile tukio la suarez kunawa mpira south, ivi kwa mfano ingekuwa ni taifa star inacheza wewe ni beki unaona kabisa mpira unaingia nyavuni ungeuacha kwa sababu ya fair play kuliko kurisk penati..?nilimsikia issa hayatou akisema wanataka timu kutoka africa ziongezwe nikajiuliza kuna haja kweli kama hizo zilizopo zenye CAF wanashidwa kuzisimamia na kutoa ushauri..!
NB: Modes naomba msiunganishe huu uzi ili tuweze kuchambua mambo kwa mtazamo mwingine
South America kati ya timu nane saba zimevuka sawa na 87%, Europe kati ya team 12, 6 zimevuka sawa na 50%, Africa kati ya team 5, 2 zimevuka 40%, Asio hakuna iliovuka , Soth America USA kavuka..... kama ntakua sijakosea ..