World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Italian tactician, wametudisapoint sana Mabuluda. Kwenye mashindano haya italy ilikuwa na makocha wa3.
1. Alberto Zaccherron akiwanoa Japani.
2. Fabio Capello akiwa na Russia na
3. Cecerra Pradelli akiwa na Italia. Wote wametoka patupu. Wameshindwa hata kuqualify kwenda knock out stage, hii inaonyesha wale makocha wa aina ya Lippi, Sacchi ni adimu pale italy, kwa timu yao ya taifa.

Cc: juve2012, Mourinho, Gang Chomba
 
Last edited by a moderator:
Unaijua histořia aliyoweka asamoah kwenye wc kwa nchi za aftika au unalaumu kwa kufuata mkumbo anahangaika sana jamaa kwa kifupi ni fowatd anayefaa! Gevinho?..kama unamlaumu hata getvinho basi utakua una matatizo. Style ya gervinho ya kuingia kwenye boksi ndiyo iliyokuwa inatakiwa kutumiwa na timu zote za aftika badala ya kutumia krosi ambazo wwatumiaji hawapo na hawafuati mipia juu. Tatizo nililoliona mimi ni kutojituma tu basi inashangaza sana kuona pirlo na anahaha uwanjani lkn dtogba na etoo wanatembea tuu uwanjani. Kuhusu posho sizani kama ni sababu kwa kuwa kila hatua unayopita unapewa fungua kutosha na fifa sasa hivyo vi posho wanavyodai vitawafikisha wapi. Update. Algeeia wamefuzu naona mtoa uzi hukuwagusia kbs


Mtoa uzi ni mtu ambaye hajui mpira; ila ni mshabiki wa matokeo tu. Kwa nini asijadili kuporomoka kwa soka la Ulaya?
England, Spain, Portugal wote wametoka raundi ya kwanza...

Huu ni uchambuzi wa kitoto sana. Hasa ukizingatia JF HOME OF GREAT THINKERS.
 
Unaijua histořia aliyoweka asamoah kwenye wc kwa nchi za aftika au unalaumu kwa kufuata mkumbo anahangaika sana jamaa kwa kifupi ni fowatd anayefaa! Gevinho?..kama unamlaumu hata getvinho basi utakua una matatizo. Style ya gervinho ya kuingia kwenye boksi ndiyo iliyokuwa inatakiwa kutumiwa na timu zote za aftika badala ya kutumia krosi ambazo wwatumiaji hawapo na hawafuati mipia juu. Tatizo nililoliona mimi ni kutojituma tu basi inashangaza sana kuona pirlo na anahaha uwanjani lkn dtogba na etoo wanatembea tuu uwanjani. Kuhusu posho sizani kama ni sababu kwa kuwa kila hatua unayopita unapewa fungua kutosha na fifa sasa hivyo vi posho wanavyodai vitawafikisha wapi. Update. Algeeia wamefuzu naona mtoa uzi hukuwagusia kbs


nakuunga mkono.
 
kwani AFRIKA ilipeleka nchi mbili tu kombe la dunia?


Swali: kuhusu kuonea si jambo geni. sema wewe hujui mpira hata nikikuambia kitu huwezi kuelewa.
Hujui kwamba kwenye mpira kuna fitina, kwa nini FIFA wanalaumiwa hata na nchi za Ulaya; WEWE hujui kitu aisee!
1.5Ivory coast
Watu wengi walilaumu ile penati lakini ukiangalia utaona matatizo mengi ya ivory cost mfano
-kwenye mechi zote tatu za makundi mid field walifanya makosa yale yale ya kupoteza mpira eneo la hatari na kufungwa na hakuna marekebisho yaliyofanyika.
-walikuja na mtindo wao ule ule wa kuacha kucheza kitimu na kila mmoja kutumia uwezo wake mfano ulikua ukiona uchoyo wa kutoa pasi wa gervinho na kalou.
-kupanga majina na kuacha watu wenye uwezo, wachezaji kama drogba, zokora na hata kalou kiwango kimeisha lakini wakawa wanawapanga tu, lakini wakaacha kuwangepanga wachezaji kama bony, ambao wangecheza na vijana wenzao wenye njaa ya mafanikio kama sergi aurier au didier Ya konan tungeweza kuona mafanikio.


2.Ghana
-ukiangalia ghana nao ni matatizo yale yale ya kwanza kupanga majina, ukiangalia mchezaji kama gyan asamoh huwa anakosa magoli mengi ya wazi ambayo midfield ya ghana huwa inayatengeneza lakini anapagwa tu na hata substution hafanyiwi na mara nyingi unakuta wanaocheza dakika chache kama ayew brother ndo wanakuja kufunga magoli
-siasa kwenye mpira, ukiangalia mechi ya mwisho walikuwa washawatimua muntari na prince-boateng ila ugomvi mkubwa ni masuala ya posho na kuhudumia timu, maana inasemekana wachezaji wa ghana walikuwa wanadai posho ya dola milioni 2 ambayo ni kama yale mambo ya cameroon


Sasa haya mambo yanakuwa yakijirudia worldcup zote lakini sisi waafrica tunasema tunaonewa tunaonewa nini na wakati timu zetu zimejaa mambo niliyoyaeleza hapo juu, watu wengine wanalaumu lile tukio la suarez kunawa mpira south, ivi kwa mfano ingekuwa ni taifa star inacheza wewe ni beki unaona kabisa mpira unaingia nyavuni ungeuacha kwa sababu ya fair play kuliko kurisk penati..?nilimsikia issa hayatou akisema wanataka timu kutoka africa ziongezwe nikajiuliza kuna haja kweli kama hizo zilizopo zenye CAF wanashidwa kuzisimamia na kutoa ushauri..!
NB: Modes naomba msiunganishe huu uzi ili tuweze kuchambua mambo kwa mtazamo mwingine
 
Aisee kiwango cha soka cha Marekani kimepanda sana. Miaka 20 ijayo wanaweza wakawa moja ya timu bora kabisa duniani.

Kwa upande wa wanawake timu ya Marekani ni moja ya timu kali duniani. Kama sikosei wameshashinda kombe la dunia mara mbili.

Matunda ya soccer moms tutaanza kuyaona muda si mrefu. Kwanza mi naona yameshaanza kuonekana.....

Ambapo sisi tunategemea mafanikio yaje km "uyoga"...bila kuwekeza,bila juhudi zozote....always politic tu hata kwenye masuala yanayohitaji mikakati muhimu....tutabaki kuwa si "kichwa cha mwandawazimu" bali mwandawazimu mwenyewe!
 
Na jinsi league inavyozidi kushamiri na football kuwa mchezo unaoanza kutoa ushindani mkubwa kwa American Football na Baseball si muda mrefu ujao USA itakuwa ni moja ya timu za kuogopewa duniani.

USA wanauzalendo fulani ambao nchi nyingi haina. Wako real ikifika kwenye jambo linalohusisha nchi yao
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aisee kiwango cha soka cha Marekani kimepanda sana. Miaka 20 ijayo wanaweza wakawa moja ya timu bora kabisa duniani.

Kwa upande wa wanawake timu ya Marekani ni moja ya timu kali duniani. Kama sikosei wameshashinda kombe la dunia mara mbili.

Matunda ya soccer moms tutaanza kuyaona muda si mrefu. Kwanza mi naona yameshaanza kuonekana.....

Hii timu yao ikivuka hapa ilipo na kufika robo fainali watakuja mashabiki wengi sana wa USA, ikifika finals ndio hadi raisi wao atakuja kabisa
 
Siwezi kusema ni ubaguzi au nini. Nawaachia wenyewe na maamuzi na mapendezeo yao, labda wanataka wabebe au wafanye vizuri kwa England born players.
England wanaojua mpira ni weusi weng wao na sio wazungu na waache kuwasifia sana kina rooney mpka wanajihis ni wa maana sana wakati hata hafikii kiwango cha Balotel. Wajifunze kwa Holland na France au USA na Brasil.
 
RIA; NIGERIA, ALGERIA! AHSANTENI BI RIA! Bila hao RIA wawili, Africa kwishney! Katika 16 bora, Africa imebakiza team mbili pekee, je Ulaya zimebaki ngapi, Asia ngapi,Amerika Kusini ngap, Australia, Amerika Kaskazini ngapi? Kwa ujumla, team zilizofuzu 16 bora ni zipi kwa majina? Tunaomba kujuzwa kama kuna mdau ana full list kimakundi.au kwa kila bara.
South America kati ya timu nane saba zimevuka sawa na 87%, Europe kati ya team 12, 6 zimevuka sawa na 50%, Africa kati ya team 5, 2 zimevuka 40%, Asio hakuna iliovuka , Soth America USA kavuka..... kama ntakua sijakosea ..
 
Europe:germany,Belgium,Greece, Switzerland,Holland na France. South america:Brazil, Argentina, Uruguay, Chile, Colombia. North America: USA, Mexico, Costa Rica. Africa:Nigeria na Algeria
 
irigi ni mkenya aliyechukua uraia wa ubelijiji



Uraia haukotwi.....mimi ni mtanzania ila mwanangu wa kwanza ni muingereza because nilitaka azaliwe kule na apewe uraia wa kule kwa manufaa yake ya baadaye. Ni chaguo la mtu kuchukua uraia unaotaka kutoka kwa nchi uliyo zaliwa ama ya wazazi wako. Origi ametaka kuwa mbelgiji kwa sababu amezaliwa na kukulia ubelgiji. Hizi hapa ni facts zake hatusimuliwi story za dala dala hapa.

[TABLE="class: profilheader, width: 0"]
[TR="bgcolor: #FFFFFF"]
[TH="bgcolor: #FFFFFF, align: left"]Date of birth:[/TH]
[TD="class: wsnw, align: left"]Apr 18, 1995 in Oostende
19.png
[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #FFFFFF"]
[TH="bgcolor: #FFFFFF, align: left"]Age:[/TH]
[TD="align: left"]19[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #FFFFFF"]
[TH="bgcolor: #FFFFFF, align: left"]Nationality:[/TH]
[TD="align: left"]
19.png
Belgium[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #FFFFFF"]
[TH="bgcolor: #FFFFFF, align: left"]Height:[/TH]
[TD="align: left"]1,85 m[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #FFFFFF"]
[TH="bgcolor: #FFFFFF, align: left"]In the team since:[/TH]
[TD="align: left"]Jul 1, 2013[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: Divock Origi - player profile - Transfermarkt
 
Huyu mjivun CR yeye anachoangalia ni kumzid Lion(Lionel) Messi tu. Hii humsababisha apatwe na kiwewe, badala yake anavurunda. Ona sasa timu yake imetupwa nje, nae kaambulia goli1 tu! Mwenzie Simba Messi anatupia karibu kila mechi, hilo linamuumiza sana CR!

Mimi namkubali kabisa kuwa ana uwezo mkubwa na juhudi binafsi ila tatizo ndiyo hilo mjivuni sana na ni bora wametolewa yaani angetamba hata kamera angepasua, mwenzake Messi huyoooo anapepea ndani ya pipa la 16 bora wakati yeye mjivuni anakwea pipa la kurudi ureno akakae kwenye kideo akimkodolea mwenzake akifanya mavitu kwa ustadi na nidhamu na heshima ya hali ya juu.
 
wataiga kung'atana au


Kwa wachezaji wa kibongo wasivyo na akili wao wanaona dili. Utaona tu mtu anamn'gata refa au mchezaji mwenzake ili tu aandikwe gazetini kesho yake na kutangazwa redioni. Au utaona mchezaji muislam anaingia uwanjani kuchukua nafasi ya fulani kisha anaonyesha/piga ishara ya msalaba. Hii ilinishangaza sana kwani nilishaonaga uwanja wa taifa. Yaani wachezaji wetu kwa kweli wachovu sana kama wasanii wa bongo fleva, yaani mtu akiona kitu tu kwenye TV basi atataka kuiga hata kama hakina maana kwake na jamii, ili mradi tu.
 
Ile staılı ya Cr7 ya kunyoa ıtaıgwa saana katıka VPL


Mpira wa Tanzania ni mpira wa kijinga sana. Chuja wachezaji wote wazalendo Simba na Yanga utakuta wachezaji wenye vipaji kweli labda ni wawili tu wengine wote ni wasanii/wachawi na ndiyo maana wanacheza mpira usio na formation ila wao tu ndiyo wanaona kuwa wana formation. Mimi bado nashangazwa na maximo kuja kufundisha Yanga wakati yeye mwenyewe aliwahi kutamka mpira wa Yanga na Simba si mpira ni ubabe tu kwani hauna msisimko na vipaji kama timu za mikoani. Lakini kwa kuwa ametaka pesa yote kasahau.
 
Wc 2014, leo saa 1:00 ni timu gani zinakutana ???

Naomba mnijuze wenye ratiba.
 
Kumbe wewe huwa huangalii mpira:
Ghana wamefunga magoli 4 kwenye kombe la Dunia mwaka huu; Wafungaji wa magoli hayo ni:
1.Asamoah Gyan = 2.
2. Andre 'Dede' Ayew = 2.

Niambie sub gani aliyeingia na kufunga goli. Acha uzushi wewe.

Kuhusu timu za AFRIKA kutolewa; si ajabu hata za ULAYA zimetolewa, tena nyingi tu.
1.England
2.Bosnia
3.Italia
4.Urusi
5.Ureno
6.Hispania



1.5Ivory coast
Watu wengi walilaumu ile penati lakini ukiangalia utaona matatizo mengi ya ivory cost mfano
-kwenye mechi zote tatu za makundi mid field walifanya makosa yale yale ya kupoteza mpira eneo la hatari na kufungwa na hakuna marekebisho yaliyofanyika.
-walikuja na mtindo wao ule ule wa kuacha kucheza kitimu na kila mmoja kutumia uwezo wake mfano ulikua ukiona uchoyo wa kutoa pasi wa gervinho na kalou.
-kupanga majina na kuacha watu wenye uwezo, wachezaji kama drogba, zokora na hata kalou kiwango kimeisha lakini wakawa wanawapanga tu, lakini wakaacha kuwangepanga wachezaji kama bony, ambao wangecheza na vijana wenzao wenye njaa ya mafanikio kama sergi aurier au didier Ya konan tungeweza kuona mafanikio.


2.Ghana
-ukiangalia ghana nao ni matatizo yale yale ya kwanza kupanga majina, ukiangalia mchezaji kama gyan asamoh huwa anakosa magoli mengi ya wazi ambayo midfield ya ghana huwa inayatengeneza lakini anapagwa tu na hata substution hafanyiwi na mara nyingi unakuta wanaocheza dakika chache kama ayew brother ndo wanakuja kufunga magoli
-siasa kwenye mpira, ukiangalia mechi ya mwisho walikuwa washawatimua muntari na prince-boateng ila ugomvi mkubwa ni masuala ya posho na kuhudumia timu, maana inasemekana wachezaji wa ghana walikuwa wanadai posho ya dola milioni 2 ambayo ni kama yale mambo ya cameroon


Sasa haya mambo yanakuwa yakijirudia worldcup zote lakini sisi waafrica tunasema tunaonewa tunaonewa nini na wakati timu zetu zimejaa mambo niliyoyaeleza hapo juu, watu wengine wanalaumu lile tukio la suarez kunawa mpira south, ivi kwa mfano ingekuwa ni taifa star inacheza wewe ni beki unaona kabisa mpira unaingia nyavuni ungeuacha kwa sababu ya fair play kuliko kurisk penati..?nilimsikia issa hayatou akisema wanataka timu kutoka africa ziongezwe nikajiuliza kuna haja kweli kama hizo zilizopo zenye CAF wanashidwa kuzisimamia na kutoa ushauri..!
NB: Modes naomba msiunganishe huu uzi ili tuweze kuchambua mambo kwa mtazamo mwingine


 
South America kati ya timu nane saba zimevuka sawa na 87%, Europe kati ya team 12, 6 zimevuka sawa na 50%, Africa kati ya team 5, 2 zimevuka 40%, Asio hakuna iliovuka , Soth America USA kavuka..... kama ntakua sijakosea ..

Mkuu hapo red fanya marekebisho. South america wana timu 6.
1. Brazil (host)
2. Argentina
3. Uruguay
4. Colombia
5. Chile
6. Ecuador. kule north zipo 4. Mexico, USA, Costa rica, na Honduras.
 
Back
Top Bottom