Bingwa Dunia kapigwa mkono?? Unfair
Watashinda mechi ijayo lakini world cup mwaka huu wasahauNinachojua since ni watetezi hawawezi kuikubali hii aibu. Utaona mechi ijayo
mkwe we si team brazil lakini
Baada ya kumtoa Alonso angemuingiza Javi Martinez huyu angewasaidia centre back,Torres amekwisha na Diego Costa hafit kwenye system ya Spain David Villa alipaswa kuanza
Mrembo by Nature kama utakumbuka fainali iliyopita walicheza hawa hawa na Spain alishinda kimagumashi tuu na Uholanzi wanapiga mpira kila michuano hii sema hawana bahati.Sijawahi kutiwa aibu kiasi hiki...ngoja niuite mchepuko wangu unipoze
Watashinda mechi ijayo lakini world cup mwaka huu wasahau
Ilikuwa iwe 8-1 yaani wana bahati wameliwa 5-1Soka lina furaha na huzuni pia. Lakini hiki walichofanya leo Uholanzi ni udhalilishaji. Magoli 5-1 tena unamfunga bingwa mtetezi? Dah sijui kambini kwao kutakuwaje. Casilas mpaka anaingia kaburini hatamsahau Ajern Robben. Amemtesa sana leo, amemfanya awe flop of the mech. Amedhalilisha akishikiana na RVP. Naamini kwa hawezi kupata tena nafasi ya kukaa tena golini kwa mechi zilizobakia. Pole gutierez
Yaaani we ndo umechagua upele mtupu...yaani hilo sio timu bora ushabikie australia
At least Spain have realized this is a world cup and not European championships!! Thanks Netherlands
walijiona wanajua,dah Torres hata hakuonekanaSpain leo sijui ilikuaje kwa kwel me nahisi wameingia na dharau na defence yao imezorotaaaa
Mkuu kama umeangalia mechi
vizuri,spain walizidiwa kiungo..walichokifanya uholanzi ni kumfanya
robben kma second striker alikua anatoka katika mwa dimba anakimbili
ndani kwenye boksi..ramos na pique waliconcentrate sana kumkaba
vanpersie..midfildr ya spain imewaangusha akukua na covering ya haraka
hakukua na mtu wa kuwasaidia akina ramos..casillas was a disgras ilikua
kma ndo mechi yake ya kwanza alikua kma anashangaa mashabiki..lawama
zangu zote ni kwa mwalimu kwakumtoa alonso lawama zangu pia ziwaendee
iniesta ,xavi na silver awakua wakiwasaidia mabeki dead balls na cross
zote makaburu walikua wanapiga free headers hakuns mtu alie kua
anamprotect casilas asibugudhiwa..nadhani spain nao yale mambo ya
ufather na ujuaji walionao ivorycoast na cameroon wameanza kua nao
pia.pole sana kwa mashabiki wote wa spain huo ndo utamu wa soccer
tunapata suprises kila siku..
Mkuu lakini kumtoa Aronso lilikuwa kosa na pale pakawa njia kuu.Mkuu kama umeangalia mechi vizuri,spain walizidiwa kiungo..walichokifanya uholanzi ni kumfanya robben kma second striker alikua anatoka katika mwa dimba anakimbili ndani kwenye boksi..ramos na pique waliconcentrate sana kumkaba vanpersie..midfildr ya spain imewaangusha akukua na covering ya haraka hakukua na mtu wa kuwasaidia akina ramos..casillas was a disgras ilikua kma ndo mechi yake ya kwanza alikua kma anashangaa mashabiki..lawama zangu zote ni kwa mwalimu kwakumtoa alonso lawama zangu pia ziwaendee iniesta ,xavi na silver awakua wakiwasaidia mabeki dead balls na cross zote makaburu walikua wanapiga free headers hakuns mtu alie kua anamprotect casilas asibugudhiwa..nadhani spain nao yale mambo ya ufather na ujuaji walionao ivorycoast na cameroon wameanza kua nao pia.pole sana kwa mashabiki wote wa spain huo ndo utamu wa soccer tunapata suprises kila siku..
France bingwa 1998 na bingwa Ulaya 2000 then WC ya 2002 wakaishia makundi tu nje...Spain bingwa 2010 na bingwa Ulaya 2012, sasa jiongezeni mtapata jibu!
Afu huwa kuna kitu kinaitwa saturation point... ukiifikia hiyo hata ufanyeje no progress.
Mmmmmmmmh! Ubunifu !
Tena mechi ijayo anacheza na Chile!Kabisaaa......jana hapa waliiponda brazil kusema kweli mpira wa jana bab kubwa wakasema mbabe wao spain mjerumani na mtaliano sasa leo spain manyago matupu lol kiko wapu? Nasubir walobakia leo shoga angu shakira atakosa mabusu lol gerad kanunaa huyoooo