World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Sasa naona mpira unachezwa, ila walikuwa wapi hawa watu
 
_75924324_3cc8873c-483e-45a1-89f9-9673b9a6f166.jpg


mexico city goli lilopoingia
 
Kocha wa Mexico ana kichaa huyu!!Dos Santos leo yupo ok saana unamtoa?
 
Sasa ndio mpira unachezwa ila kukumbuka kusoma ukiwa chumba cha mtihani ni mbaya sana
 
Mexico ndio timu iliyoruhusu magoli machache mpaka sasa. Wameruhusu goli 1 tu.
 
Mexico wanamtoa huyu dogo wanadhani ndio mechi imeisha au
 
Back
Top Bottom