Nyuma kwa goli mbili hivi uliangalia hiyo mechi kweli maana mie najua ilikuwa 5-1
Dada gani huyu
Si unaona dada mpira umechangamka sasa
Mmeona hilo..spirit is alive again
View attachment 167872mkuu si umeona sasa sijuwi ikipigwa filimbi ya mwisho na matokeo yabaki hivi huyu anaweza vua nguo!