mi mwenyewe timu langu ni brazil ila nimeshtuka mpira uliochezwa na hawa majamaa wa leoKabisaaa......jana hapa waliiponda brazil kusema kweli mpira wa jana bab kubwa wakasema mbabe wao spain mjerumani na mtaliano sasa leo spain manyago matupu lol kiko wapu? Nasubir walobakia leo shoga angu shakira atakosa mabusu lol gerad kanunaa huyoooo
Mrembo by Nature kama utakumbuka fainali iliyopita walicheza hawa hawa na Spain alishinda kimagumashi tuu na Uholanzi wanapiga mpira kila michuano hii sema hawana bahati.
Lakini hii ya leo ni aibu.
Torres alibanwa kotekote.walijiona wanajua,dah Torres hata hakuonekana
waliokimbilia spain wameogs ngoja mziki wetu waingereza wenyewe
Mkuu kama umeangalia mechi vizuri,spain walizidiwa kiungo..walichokifanya uholanzi ni kumfanya robben kma second striker alikua anatoka katika mwa dimba anakimbili ndani kwenye boksi..ramos na pique waliconcentrate sana kumkaba vanpersie..midfildr ya spain imewaangusha akukua na covering ya haraka hakukua na mtu wa kuwasaidia akina ramos..casillas was a disgras ilikua kma ndo mechi yake ya kwanza alikua kma anashangaa mashabiki..lawama zangu zote ni kwa mwalimu kwakumtoa alonso lawama zangu pia ziwaendee iniesta ,xavi na silver awakua wakiwasaidia mabeki dead balls na cross zote makaburu walikua wanapiga free headers hakuns mtu alie kua anamprotect casilas asibugudhiwa..nadhani spain nao yale mambo ya ufather na ujuaji walionao ivorycoast na cameroon wameanza kua nao pia.pole sana kwa mashabiki wote wa spain huo ndo utamu wa soccer tunapata suprises kila siku..
Kabisa. Chile inatisha. mechi ijayo anakutana na Chile wallahi akimpanga Kasilas na akina Pique, basi Sanchez atavuna mabao kama RobbenKombe halipande ndege mara hii
Torres alibanwa kotekote.
Hahahahahaha daa leo Uholanzi wamewamalizia hasira zote.Walistahili kushinda bwana...mnyonge mnyongeni ila haki mumtendee hehehe
Aisee Robben na upara wake wote alikimbia na mpira akachenga kundi la watu pamoja akapiga shuti la maana,dahTorres alibanwa kotekote.
Aibuu mabingwa wa Dunia wanafungwa magoli yote hayo
Cameroon utadhani wanyanyua vyuma wameletwa kwenye mpira.
Hahaaa kweli au unataka tuchokoza watu hapa..kwa kifupi ni kuwa Mboni katuharibia Etoo basi
iniesta na xavi ni wachezaji wa dk 50 mpira umebadika sana sikuhizi,afu hawa weusi kwenye hizi team za ulaya mbona wanapiga soccer la hatari lakini weus wa africa wanatuangusha.?kuna kaburu mmoja hivi anamacho makubwa hvi,yule alopigwa kichwa na costa, kapiga mpira mkubwa sana leo.mkuu umesema vema, imekuaje iniesta kupotea kabisa half ya pili?
Tatizo la Spain walipofunga la kwanza wakaona ndo basi,wakafanyiwa suprise,wakaongezewa tena kipindi cha pili ilipoanza,ndo spirit yote ikakataNakubaliana nawe but Javi Martinez angeweza kuziba pengo la Alonso ni mzuri sana kucheza mbele ya centre back