World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kabisaaa......jana hapa waliiponda brazil kusema kweli mpira wa jana bab kubwa wakasema mbabe wao spain mjerumani na mtaliano sasa leo spain manyago matupu lol kiko wapu? Nasubir walobakia leo shoga angu shakira atakosa mabusu lol gerad kanunaa huyoooo
mi mwenyewe timu langu ni brazil ila nimeshtuka mpira uliochezwa na hawa majamaa wa leo
 
Cameroon utadhani wanyanyua vyuma wameletwa kwenye mpira.
 
Mkuu kama umeangalia mechi vizuri,spain walizidiwa kiungo..walichokifanya uholanzi ni kumfanya robben kma second striker alikua anatoka katika mwa dimba anakimbili ndani kwenye boksi..ramos na pique waliconcentrate sana kumkaba vanpersie..midfildr ya spain imewaangusha akukua na covering ya haraka hakukua na mtu wa kuwasaidia akina ramos..casillas was a disgras ilikua kma ndo mechi yake ya kwanza alikua kma anashangaa mashabiki..lawama zangu zote ni kwa mwalimu kwakumtoa alonso lawama zangu pia ziwaendee iniesta ,xavi na silver awakua wakiwasaidia mabeki dead balls na cross zote makaburu walikua wanapiga free headers hakuns mtu alie kua anamprotect casilas asibugudhiwa..nadhani spain nao yale mambo ya ufather na ujuaji walionao ivorycoast na cameroon wameanza kua nao pia.pole sana kwa mashabiki wote wa spain huo ndo utamu wa soccer tunapata suprises kila siku..

Nakubaliana nawe but Javi Martinez angeweza kuziba pengo la Alonso ni mzuri sana kucheza mbele ya centre back
 
Mwaka 2010 pale kwa madiba ilifanyika fainali moja kali sana labda ni ya pili ukiitoa ile ya 1998, hii ni kutokana na fainali ile ilikutanisha mafundi wa mpira wa miguu wa enzi zote(total football of all time/Netherland) na mafundi wapya wa sasa sijui niwaitaje hawa jamaa ila ni Hispania.
Kwa mchezo ule wa fainali na matokeo yake kwa ujumla, wa-Dutch waliapa kwamba ipo siku watalipiza na hilo wamelithibitisha leo pale Brazil. Sasa waungwana hivi kweli huku ndiko kulipiza kweli au kutiana aibu mbele ya Dunia nzima maana kipigo cha leo sijui niite cha mbwa mwizi, sijui cha paka shume aliyezoea kula mayai ya kuku!,,,,,hebu tujuzane wadau huku ni kulipiza kisasi au kuaibishana tu.
10369600_635540053204491_6412340687466337156_n.jpg10390254_446949372109197_4497587260981271376_n.jpg10407399_446949275442540_8124690299759339895_n.jpg10428020_446949245442543_1897785938583186004_n.jpg
 
mkuu umesema vema, imekuaje iniesta kupotea kabisa half ya pili?
iniesta na xavi ni wachezaji wa dk 50 mpira umebadika sana sikuhizi,afu hawa weusi kwenye hizi team za ulaya mbona wanapiga soccer la hatari lakini weus wa africa wanatuangusha.?kuna kaburu mmoja hivi anamacho makubwa hvi,yule alopigwa kichwa na costa, kapiga mpira mkubwa sana leo.
 
Cameroon utadhani wanyanyua vyuma wameletwa kwenye mpira.
Hahahaha Voil umeua daa ina maana walifikiri wanaenda kwenye mashindano ya Mieleka?
Daaaa Etooo ana kitambi.
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana nawe but Javi Martinez angeweza kuziba pengo la Alonso ni mzuri sana kucheza mbele ya centre back
Tatizo la Spain walipofunga la kwanza wakaona ndo basi,wakafanyiwa suprise,wakaongezewa tena kipindi cha pili ilipoanza,ndo spirit yote ikakata
 
Leo yale maduka ya kuuza "utamu" Amsterdam vitu vitatolewa 50% off kushangilia ushindi huu.
 
Back
Top Bottom