Algeria kusema kweli Penalt wasahau ndio Algeria wanacheza mpira na kujitahidi ila nimeamini mpira pia akili Algeria wakikaribia nje ya Box hawajui kugawanyika, Mjerumani akifika karibu na nje ya Box wanagawanyika kuchanganya beki wa Algeria afikirie nani akae naye au akimbie nae ndio tofauti mpaka sasa Mjerumani anaweza kupata la Pili, Algeria mchezaji aliebakia na Nguvu Brahimi tu sasa hivi. mwisho kwa wale wanaooandaa lugha chafu Kama hamuwezi hapa jifunzeni Kuwa na heshima sio kuchochea chuki zenu za ma jukwaa yetu kuleta hapa.