World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

:smile-big: Spain safari yao imekwisha pia naona kama umri nao unawatupa sasa

Uholanzi safi sana kuwachapa mabingwa watetezi mapema sana
 
Spain badala ya kuchezesha vijana wanaangaika na kina xavi na alonso..
 
LVG akileta hizi adhabu alizotoa kwa Spain ndani ya EPL tutapakimbia hapa

cc DonDonald, Pazi, Belo, Nzi, Mndengereko.
 
Masikini Spain.....!! Sijui mechi ijayo watachomoka kwa hawa Chile.
 
Spain badala ya kuchezesha vijana wanaangaika na kina xavi na alonso..

Naamini safari haijaisha, ni mapema mno kusema hivyo. Kimsingi kufungwa 5-1 kwa timu kama Spain ni pigo kubwa. Lakini tukizungumzia umri, hata wale Waholanzi wengi umri wao sio vijana kama utakavyodhania. Mpira uliwakataa Spaniard jana na Dutch uliwakubali, hilo tu ndo pekee ambalo naweza kusema.
 
:smile-big: Spain safari yao imekwisha pia naona kama umri nao unawatupa sasa

Uholanzi safi sana kuwachapa mabingwa watetezi mapema sana

Toa matokeo kwanza ndo uelezee kwamba hicho ni kichapo.Magoli ni mangapi kwa ngapi mkuu?
 
Spain badala ya kuchezesha vijana wanaangaika na kina xavi na alonso..

wataje wengine ila sio alonso,yule ni kilaka haswaa.na kati ya makosa makubwa kocha wa spain alofanya ni kumtoa alonso,baada ya alonso kutoka nadhani uliona ni kitu gani kilifuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…