rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Mimi ninazungumzia wakoloni wetu, waliotutawala Tanganyika .
Na katika hii mechi kuna mmoja tuu ndiye aliyetutawala
Na ndie atakayeshinda hii mechi {Weka kumbukumbu hii post}
exhibition 1: Umevaa jezi ya Ozil.
QUOTE=DonDonald;9980031]Hahaha umeshaanza kuwakana wenzako?
Yes kazi imeshaanza, wakoloni bana[/QUOTE]
exhibition 2: Umevaa jezi ya Podoski.
Hamna sehemu nimesema mimi ni #TeamGermany
Ninachosisitiza kwenye hii mechi ni kuwa #Mkoloni anashinda hii mechi
#ThreeLions 4Life tunatisha vibaya sana lol
Muhimu: Mimi sio #TeamGermany ila #Mkoloni anashinda leo #ThreeLions tunajenga timu moja kali sana ya kutisha
#Team3Lions mnajenga timu kama vile Serikali ilivyo na mpango wa kuhamisha makao makuu from Dar to Dodoma.