Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Colombia hana historia hiyo. Utashangaa leo utakapoona Colombia wanalainishwa kama mlenda.
Weraweraaaaaaaaa, Ujeruman piga hao Ufaransa
Mzinga wangu wakwanza umekata wapi house boy aende faster kwa masawe niendelee kuranduka maana hizi mechi bila kuwa pungufu kichwani unaweza kudata,team German ngapi ngapi wakubwa?
Katavi ana gundu ukiona amaechagua timu, kama ulikuwa na nia ya kuishabikia hiyo timu afadhali uende kulala tuu.
mjerumani........
Weraweraaaaaaaaa, Ujeruman piga hao Ufaransa
Wacha bwana!
Wamepiga moja lakini very soon watatumbukiza jingine.bao zimefika ngapi for The Greatest Team Germany?
tena we una kesi ya kujibu anza kutafuta wakili kabisaaaa
hawajui hawa brazil hajamfunga colombia kwa miaka 11 iliyopita zaidi ya kuambulia sare