World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ngoja niwait wimbo wa taifa wa brazil! jamaa wanaimba kwa mzuka sana hawa. hasa braza Silva.
 
According to reports Liverpool have agreed a deal to sell Uruguay striker Luis Suarez to Barcelona for a £62.5million

hata hivyo alishasema asingirudi uingereza kwani wao ndiyo wamepambasha mapka akafungiwa
 
Natoa pendekezo kwa mods kutuanzishia uzi kama huu wakati wa UEFA CL kwani "nimeinjoi" sana kwenye huu uzi na nawapongeza wanajf wote mliochangia uzi huu mmejitahidi sana kuupa taswira genuine ya "social network".i'm proud to be a soccer fan.ukiufuatilia uzi huu utagundua soccer fans walivyo,peace and love!ndio maana nimeomba jamiiforums muendeleze hii kitu kupitia CL na pia uzi wa ligi kuu bongo.credits kwenu jf members hasa wale ambao ni wachangiaji wa mara kwa mara wa uzi huu.cc Invisible
 
Last edited by a moderator:
Sasa hivi timu hiyo uisemayo haipo MANU ndiyo maana nikasema labda usajili unaweza kusaidia hili. Kumbuka mcheza mmoja mpya kwenye timu au wawili huweza kuibadili timu na ikaonekana ni timu tofauti sana kiuchezaji. Enjoy the game.

Sidhani kama kusajili ni kuchukua kombe.

Kinachomata ni kuwa na wachezaji wanaocheza kiteam sio individual talents.

Angalia SAF mara ngapi anachukua kombe akiwa na team inayoitwa dhaifu mbele ya Man city wenye kikosi bora??
 
Wazoefu wengi wakianza mechi hawafanyi vizuri (mfanko Klose leo) , bora angeanzia benchi

Confidence,ile inaonekana uwanjani na wachezaji,mf england roy aliharibu hata ku-include m1
 
Leo nitai'back' Colombia (ina idadi kubwa ya ndugu zetu ...)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…