World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

No Falcao No problem!!Namba 9 hiyo mwenyewe kakaa hapo juu na maumivu yake!Angekuwepo Falcao na beki hii ya Greece sasa ingekuwa 5 bila!!
 
Greece hawana bahati tu kwa kweli. Wanakosa magoli kiajabu ajabu tu, pole yao. Colombia utawapenda tu
 
Dah!hizi mechi za mapema zote ntazikosa maskini!wakuu vipi mechi ya Colombia nzuri au ilimradi?



haijachanganya sana, colombia wanacheza polepole na kushambulia kwa kushitukiza, japo ugiliki wanajitutumua kiasi flani.
 
Tuseme ukweli huu mpira wa Colombia una tofauti gani na mpira wa timu ngoja niseme tena clubs za Afrika? Jamaa wana zile sawa na za kwetu, sijaona gonga kama za ulaya au nchi nyingine za Amerika kusini.
 
Tuseme ukweli huu mpira wa Colombia una tofauti gani na mpira wa timu ngoja niseme tena clubs za Afrika? Jamaa wana zile sawa na za kwetu, sijaona gonga kama za ulaya au nchi nyingine za Amerika kusini.
Wanajua bhana,wana spirit,speed wanayo,wanajua kupasi, na wanajituma
 
Tuseme ukweli huu mpira wa Colombia una tofauti gani na mpira wa timu ngoja niseme tena clubs za Afrika? Jamaa wana zile sawa na za kwetu, sijaona gonga kama za ulaya au nchi nyingine za Amerika kusini.



Hawa jamaa wanaufaham vizuri mpira, wanacheza kwa kuangalia mchezo umekaaje, unaweza ona wapuuzi lakini ni noma.
 
Dah!hizi mechi za mapema zote ntazikosa maskini!wakuu vipi mechi ya Colombia nzuri au ilimradi?

Habari yako mzee mwenzangu?

Uko shamba nini? Na weekend yote hii uikose match ya muda huu?
 

Ahsante kwa maelezo sahihi kabisa, mimi ni The Azzuri through and through na vijana wangu wa Bianconeri wataniwakilisha vizuri kabisa baadae au shifta na Ziroseventytwo mnabisha?
 
Last edited by a moderator:
Habari yako mzee mwenzangu?

Uko shamba nini? Na weekend yote hii uikose match ya muda huu?

Dah,mkuu we acha tu!wengine wetu kuwepo home mida hii ni kama bahati.hata weekend huwa tunapitia yale makandokando ambayo tunabanwa kuyafanya katikati ya wiki.si unajua bongo hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…