World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Wadachi hawajawah kushinda penalt Kombe la dunia........nna mashaka
 
Dutch atanyukwa Penalties na watajilaumu,hawa hawakustahili kufikishana nao huku
 
Kuna mtu anaitwa Krul, yeye ni specialist wa kuokoa penati...

Hii game ni balaa aisee...hii speed mtu unaweza kusema po!

Huu ndo mpira acha ile match ya Fance na Germany !poorest match ever
 
Penati hazina ujanja maana kuna wapigaji na wadakaji
 
Arifu utakufa kwa hatred na kihoro!!!

Mkuu mechi iliyopita ya Holland ulitaka waondolewe ili LVG aanze kazi mapema old trafford. Ombi lako litajibiwa muda si mrefu.
 
Costarica haikubahatisha kuwasimamisha Italy,Uruguay,England na Greece!!
 

ingekuwa hivyo Edson Arantes Dos Nascimento asingeitwa mfalme wa soka duniani kwa sababu hajacheza na messi
 
#TeamHolland kila la heri kwenye matuta.
 
adui wakoleo ndio rafiki wa kesho.costa rica wakishinda kwa penat leo ndio nitawashangilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…