Haka ka Campbell naona kanatafuta mkataba mnono ulaya!
Wenger ana matatizo ya akili nahisi!Unamtoa Cambell kwa mkopo unamucha Sanogo?Huyu dogo Campbell anaujua sana huyu
Ni kweli unachosema angekuwa anatoka jumuiya ya Ulaya siku nyingi angepata kibali.Wenger sio tatizo la dogo kuwa mkoponi. Ni Sheria za kazi za England, dogo alinyimwa working permit mara mbili nadhani safari hii atapewa baada ya kufanya mambo UCL na World Cup hii.
Spain and Cameroon ndiyo teams dhaifu hadi sasa!Hazina mfumo wowote na inawategemea wachezaji wake wenyewe wa create play mchezo ukiwa unaendelea!!
siamini unafuatilia kwa karibu hivi, umechagua timu gani mwaka huu?
Kazi ipo kila anaeanza kufunga ndo anashindwa,Cameroon tu ndo vibonde walishindwa kusawazisha na kushinda
Spain sio dhaifu, walithrow a towel baada ya kufungwa goli la tatu. Subiri uone moto kwenye mechi yao ya pili na ya tatu. watashinda zote mbili.
Ukitaka upate presha kweye michuano kama hii basi kuwa shabiki saaaana wa timu za afrika......Just tuzipe support tu kwa kuwa ni waafrika wenzetu ila.......
Halihitaji muujiza hilo jumatano tutakuwepo hapa trust me watu hawataamini. Mkuu spain sio taifa starsnaomba muujiza utokee. walinidisapoint sana