World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Haka ka Campbell naona kanatafuta mkataba mnono ulaya!

Yupo Arsenal ya Wenger toka mwaka juzi,huwa anampeleka kwa mkopo Panathainakos ya Ugiriki!Nashangaa unamtoa Campbell kwa mkopo unamuacha Sanogo ahahahaha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jamani naomba kuuliza hivi hizi ndio timu za kundi letu la Italia?mbona nasikia homa!
 
1526353_897100666972448_514000951354747738_n.jpg



10477015_897100670305781_6695315732859820190_n.jpg



10460734_897100653639116_4579977664084981891_n.jpg



10413369_896981480317700_6798175102932209868_n.jpg



10313350_896981513651030_4857889669786643550_n.jpg



10447750_896981546984360_3492095960344889609_n.jpg



10372281_896981536984361_3791836210530553249_n.jpg



10439532_896981526984362_2692202818148011566_n.jpg



10365988_896925903656591_1529369749330779197_n.jpg



10463021_896845716997943_8498845885412272713_n.jpg
 
Kazi ipo kila anaeanza kufunga ndo anashindwa,Cameroon tu ndo vibonde walishindwa kusawazisha na kushinda
 
Wenger sio tatizo la dogo kuwa mkoponi. Ni Sheria za kazi za England, dogo alinyimwa working permit mara mbili nadhani safari hii atapewa baada ya kufanya mambo UCL na World Cup hii.
Ni kweli unachosema angekuwa anatoka jumuiya ya Ulaya siku nyingi angepata kibali.
 
Dogo wetu unamwonaje? Akija Old Trafford atawazungusha kama pia kina Smalling, Phil Jones
DonDonald
 
Spain and Cameroon ndiyo teams dhaifu hadi sasa!Hazina mfumo wowote na inawategemea wachezaji wake wenyewe wa create play mchezo ukiwa unaendelea!!

Spain sio dhaifu, walithrow a towel baada ya kufungwa goli la tatu. Subiri uone moto kwenye mechi yao ya pili na ya tatu. watashinda zote mbili.
 
siamini unafuatilia kwa karibu hivi, umechagua timu gani mwaka huu?

wewe mimi mpira ndio starehe yangu. ninapoangalizia mwanamke ni mimi peke yangu hehehe mwaka huu nyota si njema sana kwangu kwani spain ilishaniharibia, nasubiri argentina, german na england (ofcourse team za africa ni automatic)
 
Kazi ipo kila anaeanza kufunga ndo anashindwa,Cameroon tu ndo vibonde walishindwa kusawazisha na kushinda

Ukitaka upate presha kweye michuano kama hii basi kuwa shabiki saaaana wa timu za afrika......Just tuzipe support tu kwa kuwa ni waafrika wenzetu ila.......
 
Hawa Costa Rica wametumwa kazi na nchi yao. i'm happy with them.
 
Back
Top Bottom