BRAZIL tangu mechi ya kwanza walionyesha sio timu nzuri....mechi zote wameshinda kwa mbinde tofauti ya goli moja moja na hajakutana na timu za kutisha....hapa kwa mjerumani ndio ilikuwa mwisho wake,HII NI REALITY CHECK!!!! Brazil walikuwa wabovu tangu mwanzo sasa kipindi cha pili wafanye damage limitation otherwise record ya germany vs saudi arabia[8-0] itavunjwa leo maanake MUELLER ana goli tano anahitaji magoli mawili awe top scorer two consecutive world cups.... MILOSLAV CLOSER AMEKUWA ALL TIME WC TOP SCORER.......