Wamejikausha....Respect The Boss kilo zako na nusu zichukue Heaven on Earth mama kabidhi hizo 50,000 yule nani jaman nimemsahau kabidhi tu kilo yako,ice cream yangu tu The Boss inipoze machungu.
Hakuna Brazil wamevunja record km si kuiwekahahahahahahaha hebu tujuzane timu ambayo ilishapigwa mvua ya magoli kwenye hii stage ya nusu fainali......
Halafu gemu yenyewe wala si kwamba Brasil wamezidiwa hivyo....
What the hell is happening here?
Shocking!!!!!!!!!!!!!
Watoe Dante, Fred, Oscar hawana kazi humo ndani leo nimejikuta hasira zimeondoka yaani nimecheka tuuu. A
Una kengeza wewe sio bureNajiona kama natazama Arsenal na B.Munich.. Au macho yangu mabovu?
Wadau sasa tuchart wana German team mpoo jukwaani? Muhudumu tafadhali let's mizinga mi 5 fasta.
Halafu gemu yenyewe wala si kwamba Brasil wamezidiwa hivyo....
What the hell is happening here?
Shocking!!!!!!!!!!!!!
Scolari lazima abwage mikoba leo
hili ni kombe la kulipa visasi km kuna mtu alikufunga miaka ile na ww mtandike mpaka asitamani kukutana nawewe tenaYaani kiukweli tusiwapende Wajerumani, sio watu wazuri kabisa hawana huruma hata kidogo haiwezekani wafanye hivi kwa magoli 2 waliyofungwa 2002
Utajiumiza bure kwa hasira mie baada ya goli la tano nikahama kabisa kwenye TV sijaangalia tena, labda sitaangalia tena maana matumaini yote yamepotea.
Mkuu we acha tu leo nataka nione maajabu ya dunia
Asante German kwa kututawala mmefanya mengi Tanganyika asante Mara 100 sababu brazil walitufunga 5-1 na hatukujua lini tutarudisha asante baba yetu mkoloni kwa kutusaidia