BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Dah!!!! Mie wala sielewi, yaani pengo la wachezaji wawili ndiyo timu iwe midebwedo hivi!!!! Hata Ghana waligangamara na karibu wawaadhiri hawa Wajerumani, raha ya mchezo tupa kuleeeee duh!!!!!
3-0 upo kakak nilikwambia?