World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

.....noted wit thanks!

shukran kwa kushukuru.
Kwa kifupi mafanikio ya wachezaji watatu kwenye WC

Edson.

Akiwa na umri wa miaka 18, aliibeba brazil kuchukua kombe la dunia kwa mara ya kwanza mwaka 1958 alikuwa na umri wa mtoto wa kidato cha nne kwa TZ.
Akawabeba tena brazil wakachukua mwaka 1962.
Mwaka 1966 akalikosa.
Akawabeba tena brazil wakachukua ubingwa tena mwaka 1970.
Mara zote aliifikisha brazil at least robo fainali.

Diego.

Aliwabeba Argentina wakachukua WC mwaka 1986, waliwafunga german fainali.
Akawafikisha fainali mwaka 1990, walifungwa na german goli moja la penati, Andre Brehme alipiga hiyo penati.

Messi.

Hii ni mara ya tatu anashiriki, ana umri wa miaka 26, ameingia fainali ya kwanza ya WC mwaka huu 2014, hatujui kama Wajerumani watamwacha achukue.

Kuhusu Maradona kupigiwa kura awe mfalme wa soka duniani, zilikuwa ni hila kwa sababu Edson ni mweusi tiiiii, weupe mpaka kesho roho zinawauma lakini hakuna atakayefuta record za Edson, wapenda haki walitengua uteuzi wa Diego kwa kuhusisha madawa ya kuongeza nguvu.
Kampeni zipo tu kwenye michezo, media zinatumika kupaisha watu.
Wajerumani wamemrudisha Klose timu ya taifa ili avunje record ya kufunga magoli mengi kwenye WC, walikuwa wanamtengenezea nafasi za kufunga avunje rocord, ndio maana unaona hata goli lake alilowafunga Brazil mtoaji pasi alikuwa na uwezo wa kufunga wakampa yeye apige tena na tena.
Yote hiyo ni ili mtu wao ndiye awe ameweka record.
 
pongezi kwa wadutch wamepigana kwa kweli. bahati haikuwa kwao

kweli kabisa, sema forward yao imekuwa butu kwenye kufunga.
ngoja tusubiri tuone kwa wale "one mistake one goal"
 
No thank you!sitaki pressure kuna Enzo Peres na Lionel Messi watakuwa wakishika mpira moyo unakwenda mbio,nimeamua kuwa teamless

Hawana kitu hao kwa wajerumani. Ujerumani ni watu wa mikakati ingawa siwapendi. Walimsimamisha red hot Maradona itakuwa Messi.
 
THE BLOG
Why Are There No Black Men on Argentina's Roster?
Rachel Décoste 07/09/14 05:52 PM ET
As the 2014 FIFA World Cup winds down, several news publications have released sociopolitical observations on Brazil and other World Cup-contending nations, including parallels to immigration and integration. These mind-bending pieces trace socio-political history through the lens of futbol. It should be expected that the "rainbow nations" which were conceived by the blend of American-Indians, Spaniards and enslaved Africans would reflect their diversity in their soccer clubs.

South and Central American clubs representing Columbia, Honduras , Costa Rica, Ecuador , Uruguay , Chile all showcase the diversity of their nations. Despite their enduring racial discrimination problems, they have leveraged black athleticism to carry their teams to contention in the Copa del Mundo.

Curiously, Argentina's club does not follow the trend.


There are no black players on Argentina's roster. Actually, there are hardly any black people left in Argentina period.

In colonial times, the proportion of Africans hovered around 50 per cent in half of Argentina's provinces. General José de San Martín, the revolutionary who lead the charge to gain independence from Spanish rule, estimated that there were 400,000 Afro-Argentines who could be recruited to his armies. Black men made up 65 per cent of his troops.

The 2010 census puts the Afro-Argentine population at 150,000, or less than half of one per cent.

How did the Africans disappear? Although slavery was abolished in Argentina in 1813, many Afro-Argentines were still held as slaves. Emancipation was promised to those who would fight in Argentina's wars. Most African men signed up with hopes of winning their freedom. They were sent to the front lines. Most perished while fighting for a country that did not recognize their rights or humanity.

Until 1853, the law forced slave owners to cede 40 percent of their slaves to military service. The promise of manumission was offered to those enslaved persons who completed five years of service -- a promise rarely kept.

Over the years, overt and covert government sanctions promoted ethnic cleansing and, some say, genocide. Argentina is now South America's whitest country (97 per cent according to the CIA World Factbook). Argentinians themselves have purged their African roots from their socio-historical landscape and conscience.

What you won't read in the tourist tomes like Fodor's and Lonely Planet is that the country was built essentially by slave labour. Countless edifices, including the Estancia Santa Catalina of Cordoba, a Jesuit estate founded in 1622 now part of UNESCO's World Heritage sites, were built and maintained by enslaved Africans. This particular estate still has the slave quarters, small mud structures, outside the compound. It is one of few pieces of evidence of slavery remaining.

As Argentina refuses to authenticate the dowry which transatlantic slaves bequeathed to their nation, the truth cannot be contained. Historians uncovered that the tango are Afro-Argentine endowments as well.

There is a theory that diversity is good for team performance in soccer, and in the overall health of any society. Whether Argentina is an outlier is still up for debate.
(Google, 10 July, 2014)

asante mkuu.nimeisoma article yote.ni huzuni sana,kumbe watu weusi tulitumika kujenga taifa ambalo halituthamini.!!.sasa final nawashabikia wa-germany,though historically mataifa yote ambayo ni dominance ya wazungu hayakuwai kumtendea haki mtu mweusi.
 
asante mkuu.nimeisoma article yote.ni huzuni sana,kumbe watu weusi tulitumika kujenga taifa ambalo halituthamini.!!.sasa final nawashabikia wa- Netherlands,though historicall mataifa yote ambayo ni dominance ya wazungu hayakuwai kumtendea haki mtu mweusi.

Hawa jamaa wamejiweka weupe wenyewe,sijajua kama kweli weusi 150,000 waliobaki hakuna hata wa kukaa benchi
 
Hii team ya Ujerumani haina superstar kama ilivyo Brasil na Neymar au Argentina na Messi.

Haijaundwa around superstar mmoja tu. Halafu wako balanced vizuri.

Wana-epitomize vizuri sana concept ya team.

Yah, wewe ni mpenzi wa soka na sio mshabiki wa soka kwa sababu umeongea ukweli, ingawa upo upande wa argentina.
 
kweli kabisa, sema forward yao imekuwa butu kwenye kufunga.
ngoja tusubiri tuone kwa wale "one mistake one goal"

One mistake one goal imekuwa applicable kwa wachovu Brazil tu!

andate nakuonya mapema mkuu strikers kama Fred na Benard na Jo hawawezi msumbua Boateng na Hummels

Quality ya Messi;Di Maria;Aguero na Higuain individually wanaweza ifunga team yyt ile na muda wowote ule
 
Last edited by a moderator:
One mistake one goal imekuwa applicable kwa wachovu Brazil tu!

andate nakuonya mapema mkuu strikers kama Fred na Benard na Jo hawawezi msumbua Boateng na Hummels

Quality ya Messi;Di Maria;Aguero na Higuain individually wanaweza ifunga team yyt ile na muda wowote ule

hiyo mechi german wanashinda ndani ya dakika 90.
 
Sijaona bado wapi defenders wale walio kalishwa na Ghana na Algeria waizuie Argentina!No way mkuu

So far german wamefungwa magoli manne, sijui wamefunga mangapi.
Argentina wamefungwa magoli mawili, sijui wamefunga mangapi.

German ana uwezo wa ku score at least mara tatu kwenye mechi na argentina, argentina ata score mara ngapi hiyo sifahamu.

Tusubiri tuone.
 
Huwez ukamsifia mtu mmoja ilihali ilifika hatua ya penalt,angekua amefunga goli pekee la kuivusha timu sawa,shukrani ziwaendee timu nzima ziada kwa wapigaji mikwaju wote kwa ufasisi mzuri
 
Back
Top Bottom