World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

BsYBRZCCUAAyjUd.jpg:large
 
Brazil wamepata aibu ambayo hawajawahi ipata kamwe na huenda wasiipate,Kumbuka wao ndio wameandaa haya mashindano na walikuwa wanapewa nafasi kuchukua ubingwa tofauti na Holland ambao hawakutegemewa hata kupita kwenye makundi

Aibu ipi? Kuwa timu bora ni lazima ufungwe na hii sio mara ya kwanza kwa Brazil kutokuchukua kombe ingawa wao ndio waandaaji. Kuna nchi nyingi tu waliandaa na hawakuchukua ubingwa. Wadachi bado hawajachukua hiki kikombe ndio sababu wanawewesekaweweseka na nafasi ya tatu. BTW Brazil hata mazoezi hawakufanya wao mashindano yaliisha baada ya kugalagazwa na GERMANY. Thats the only position wadachi watashika lakini Brazil ni wawaniaji wa kombe.
 
Naam huo ndio ukweli wa mambo, wametumia U$ bilioni 11 kuboresha miundo mbinu na kujenga viwanja vikali sana, lakini wakasahau kuboresha timu yao sasa imekula kwetu.

Dilma Roussef akishinda uchaguzi wa baadaye mwaka huu nitashangaa sana.
 
Naam huo ndio ukweli wa mambo, wametumia U$ bilioni 11 kuboresha miundo mbinu na kujenga viwanja vikali sana, lakini wakasahau kuboresha timu yao sasa imekula kwetu.

Ni kweli kabisa,na kingine hawakupata baraka za wananchi wao,watu wamelia na mishahara yao sana,zile fujo na migomo iliyokuwa inafanyika haikuwa poa kabisa.
 
Kalale tu mwaya! Diripu zenyewe nimemfunga mbrazili mwenzio hapa!

kibanda ndio kinazidi kuteketea hiko Br 0-3 Nd!

Uwe na usiku mwema! Na usisahau kufanya tahajudi!

Hapa ni baada ya tahadhari ya.zile7
Amin usiamin Uholanzi ingekutana na Brazil bila arlets, nakuambia hata goli 10 kumi angetandikwa. Mholanz anakutandika halafu udugu baadae
 
Scolari ----- sana ..bado anafundisha mpira wa kizamani wa kukimbia kimbia...hawaoni argentina wanavyofunga defense..

Brasil wanahitaji bona fide goal scorers kama Romario na Ronaldo. Wanahitaji tena winga kama Bebeto.

Bado ninawaaminia sana. Sija give up kabisa kwa sababu tima and time again wamesha-deliver.

Mwaka huu hawakuwa na timu nzuri kabisa.
 
You can do the same with our African Teams.

Kweli nyumbani ni nyumbani lakini ikija kwenye soka sitaki kusikia hizo habari.

Wewe endelea tu kuwa na false hope.

Mi nabakia na Brasil yangu, through thick and thin.
 
Ningeshangaa sana kama matokeo yangekuwa tofauti...shoti ya umeme halafu uzinduke mapema hivi! Hata hilo haliwezekani, labda umeme wa Muhongo!
 
Back
Top Bottom