World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Half time. German wapo mbele kwa goli 3 kwa 0. Cristiano haonekani kabisa, nani ndio anaonekana kupambana zaidi.

Pepe katia mikosi timu yake, huyu jamaa atakuwa anavuta c bure, uwezi kuonyesha display ya kibange kama hivi. Naamini kipigo alichopata spain kitakuwa ni kidogo, hawa ureno lazima watalimwa 6.

Poleni =team ureno

team ureno wazuri ila hawatulii, wakikubali kucheza kwa nidhamu wataambulia japo magoli mawili
 
Wa kumchukia ni Refa chief...Hakukuwa na sababu ya kumpa Red Pepe..

Thomas Muller kaguswa kichwa tu kajiangusha na Refa anatoa straight Red card...Na hata Khedira naye kagusana kidogo tu na Coentrao anajinagusha na kulalamika juu...

Kutolewa kwa Pepe kumeidhoofisha Ureno Chief...Nimewachukia Germany ghafla kwa tabia za Muller na Khedira...

Ureno wamekuwa dhoof'l khali..

Kiukweli nimeumia sana, ila naamini hawa Wajerumani watakutana na mtu atawapiga vizuri tu, baada ya hii mechi watajisahau.
 
troll_football_image_ae7c31b2c797f3d09cd7a49e7842f123.jpg


Meanwhile darasani, Kombe la dunia na book kwa pamoja.
 
Wa kumchukia ni Refa chief...Hakukuwa na sababu ya kumpa Red Pepe..

Thomas Muller kaguswa kichwa tu kajiangusha na Refa anatoa straight Red card...Na hata Khedira naye kagusana kidogo tu na Coentrao anajinagusha na kulalamika juu...

Kutolewa kwa Pepe kumeidhoofisha Ureno Chief...Nimewachukia Germany ghafla kwa tabia za Muller na Khedira...

Ureno wamekuwa dhoof'l khali..

Mkuu naomba kutofautiana, Pepe kaitafuta red card mwenyewe, ile ya kwanza ya Muller kujiangusha ni sawa kabisa, Muller angepewa kadi ya njano lakini kitendo cha pepe kumfuata Muller pale chini na kutaka kumpiga kichwa kinastahili kadi nyekundu X2, alikua na haja gani kufanya vile?
 
Bado ilikuwa game nzuri mpaka pale Pepe alipolamba red. Sasa inaweza kugeuka basket ball.
 
Shida ni mfumo mkuu, sio kocha

Mbona germany wana kocha wa kijerumani na wanashinda?

MFUMO NDO SHIDA

Uki waambia hilo swala hawataki kukubali km jk angekua na vision angejaribu kushinikiza kuundaa vijna wadogo kuunda kikosi cha timu ya taifa tangu 2005 mpaka leo nadhani tungekua na vijana waliolelewa kisoka na wangekua wakali sana,miaka 9 ni mingi sana kukuza wachezaji..
 
Pamoja na yote Ujerumani wanajipanga vizuri, mpaka wanafika golini. Wamejiimarisha sana sana nimewapenda bure.
 
Yaani mie naamini leo hawa watu watajuta hayo magoli maana Cristiano nae sidhani kama atacheza muda wote anaogopa sana kuumia huyu mtu
 
Back
Top Bottom