World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kama ni kweli basi watakuwa wamefanya timing nzuri kwa serikali yao,
ila haimake sense itakwaje waanze mechi halafu wasusie half time.

Wanataka nchi ifungiwe na FIFA wao wakapige zao kazi huko ughaibuni coz hizi nchi za kiafrika utawala wao ni wa kishenzi tu
 
Wapendwa nalala ili niamke nicheck Ghana coz siwezi mkosa Gyan nampenda sana.
Hawa wapopo hata wakifunga ni goli moja tu au wanatoka draw ya bila kufungana. Later kwa tutakaokuwa hapa kwaajili ya Ghana.
 
10480672_900417186640796_7227690535374968230_n.jpg



10382000_900417189974129_4759056937571929076_n.jpg



10417510_900417193307462_1831740808656444874_n.jpg



10407832_900417196640795_1415068373464628469_n.jpg



10413371_900417199974128_2429477021088211961_n.jpg



10464164_900417146640800_7033964989150557477_n.jpg



10369107_900417159974132_8945924688525755048_n.jpg



10334474_900635259952322_5628894110292564718_n.jpg



10405491_900635263285655_655092941472013187_n.jpg



10373960_900635256618989_4344845455278311617_n.jpg
 
Breaking News!

Huenda wachezaji wa Nigeria wakagoma kurudi kipindi cha pili endapo hawatapewa uhakika wa kulipwa posho zao wanazoidai serikali ya NIGERIA........Stay turned....

Kuna majadiliano yanaendelea baina ya wachezaji na viongozi wa timu pamoja na wawakilishi wa serikali.....

Wenu #TeamIran
Hahahaha Tume ya Katiba umenichekesha sana daa.
 
Last edited by a moderator:
Butua butua tu mimi sijaona bado walah na hii timu ya nigeria ikikutana na colombia inakandamizwa bao kumi yaani jamaaa wanacheza na vibooonde lakini wanashondwa kuitumia fursa.

Kweli kabisa kaka
 
Wapendwa nalala ili niamke nicheck Ghana coz siwezi mkosa Gyan nampenda sana.
Hawa wapopo hata wakifunga ni goli moja tu au wanatoka draw ya bila kufungana. Later kwa tutakaokuwa hapa kwaajili ya Ghana.

Kweli mkuu hawa Naijeria watuzingua tu heri tusubiri Ghana wanaume wa kweli.
 
Butua butua tu mimi sijaona bado walah na hii timu ya nigeria ikikutana na colombia inakandamizwa bao kumi yaani jamaaa wanacheza na vibooonde lakini wanashondwa kuitumia fursa.
ndugu yangu, wakikutana na Switzerland wangefungwa mengi sana...Switzerland wana mpira aisee na IQ zao kubwa!
 
Nigeria wameshanikatisha tamaa.game yao ya kushinda ilikuwa ni hii, wakishindwa hapa basi tena.
 
Wapendwa nalala ili niamke nicheck Ghana coz siwezi mkosa Gyan nampenda sana.
Hawa wapopo hata wakifunga ni goli moja tu au wanatoka draw ya bila kufungana. Later kwa tutakaokuwa hapa kwaajili ya Ghana.
Mtani na wewe umegoma Mpaka upewe posho?
 
Wapendwa nalala ili niamke nicheck Ghana coz siwezi mkosa Gyan nampenda sana.
Hawa wapopo hata wakifunga ni goli moja tu au wanatoka draw ya bila kufungana. Later kwa tutakaokuwa hapa kwaajili ya Ghana.

Nenda mama miye nikilala ndo nitolee hakuna wa kuniamsha.
 
Waafrika bana. eti dangerous attack 23 lakini hawana hata kagoli?


IRA NGA
[TABLE="class: table statistics-block, width: 100%"]
[TR]
[TD="class: stats-value, align: center"]7[/TD]
[TD="class: stats-name, align: center"]DANGEROUS ATTACKS[/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]23[/TD]
[TD="class: right-shld, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: left-shld, align: center"][/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]2[/TD]
[TD="class: stats-name, align: center"]TOTAL ATTEMPTS[/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]5[/TD]
[TD="class: right-shld, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: left-shld, align: center"][/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]4[/TD]
[TD="class: stats-name, align: center"]DELIVERIES IN PENALTY AREA[/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]3[/TD]
[TD="class: right-shld, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: left-shld, align: center"][/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]19[/TD]
[TD="class: stats-name, align: center"]CLEARANCES[/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]7[/TD]
[TD="class: right-shld, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: left-shld, align: center"][/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]102[/TD]
[TD="class: stats-name, align: center"]PASSES COMPLETED[/TD]
[TD="class: stats-value, align: center"]248[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Wanaijeria wanakimbiakimbia tu na mpira kama wezi....
 
Back
Top Bottom