Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,656
Kuhusu Asamoh Gyan nakukatalia.Ghana inatatizo kubwa katikati, Asamo Gyan na ayu mdogo.
Pale mbele hasa upande wa kulia kwao jamaa anabutua tu wala hajui malengo yake.
Prince Boateng anaweza kubadili mchezo huu kabisa, na kusahihisha makosa ya pass za hovyo kwa ghana.
bado hajapata supporter mzuri.
dogo Ayew wa kule kulia naona amepanic. cross hazitoisaidia ghana.
by the way ghana wanapiga mpira safi sana. matumaini yapo.