World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Wakati wa kupanga makundi kuna vitu vilizingatiwa, kulikuwa na kinara wa kundi ambazo ni timu 8 zilizoteuliwa kwa vigezo ambavyo FIFA wanavijua wao. Kisha kila timu iliyochaguliwa katika droo ilipachikwa katika kundi bila kujali orodha ya alfabeti au ubora wake mchezoni.

mkuu vigezo vinafahamika. timu nane huchanguliwa kutoka na FIFA world ranking ya oktoba kabla ya mashindano kuanza (http://en.wikipedia.org/wiki/2014_FIFA_World_Cup_seeding)
( yaani oktoba 2013 ndiyo iliyoamua nani anatakuwa kwenye 7 bora ukijumlisha na muandaaji kuwa 8). kinachofanyika ni kuangalia timu bora nane za kwanza ambazo zimefuzu katika fainali. Ingawa hapa chini unakuta brazil alikuwa namba 11 bado yeye alikuwa kinara wa kundi kwa vile ni muandaaaji wa mashindano. soma zaizi kwenye hii link FIFA World Cup 2014: Pre-Tournament Team Power Rankings | Bleacher Report
hapa chini ni FIFA Ranking October 2013 ambayio ndiyo iliamua nani atakuwa kinara kwenye makundi nane.

22px-Flag_of_Brazil.svg.png
Brazil (hosts) 11
23px-Flag_of_Spain.svg.png
Spain 1
23px-Flag_of_Germany.svg.png
Germany 2
23px-Flag_of_Argentina.svg.png
Argentina 3
23px-Flag_of_Colombia.svg.png
Colombia 4
23px-Flag_of_Belgium_%28civil%29.svg.png
Belgium 5
23px-Flag_of_Uruguay.svg.png
Uruguay 6
16px-Flag_of_Switzerland.svg.png
Switzerland 7

hao juu hapo ndiyo walikuwa vinara wa makundi

23px-Flag_of_the_Netherlands.svg.png
Netherlands 8
23px-Flag_of_Italy.svg.png
Italy 9
23px-Flag_of_England.svg.png
England 10
23px-Flag_of_Chile.svg.png
Chile 12
23px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States 13
 
mimi ni team Algeria,binamu zangu hawa,tukikutana tunaitana kuzan au kuzini
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! Hahahahaha umezikimbia mechi nyingine na kuichagua hiyo rahisi 🙂🙂 pamoja na hayo hujaweka magoli lol!!!! 🙂🙂🙂 Mie utabiri wangu Belgium 3 Algeria 2, Brazil 3 Mexico 1 na Russia 2 Korea 1

Nlifkir mechi ya mwanzo itanipita ndio naamka sasa.....tuendelee na utabiri

Belgiun 2-algeria 1

Brazil 3-mexico 1

Hiyo ya warusi niache ntatabir baadae....

Haya andaa macho gemu yaanza soon alafu weye timu nani yakheeee usiniambie ni spain ntakununia lol
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Algeria wana mpambano mgumu sana leo hasa nikiangalia watabe wa Belgium kama Lukaku, Kompany, Hazard na Dembele ni balaa tupu.
 
Hawa Beligium majina yanawabeba sana ila naona Algeria wataweza shinda
 
Back
Top Bottom