Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Kanisikia kwa kweli,France wapo vizuri leoAmekusikia asee!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisikia kwa kweli,France wapo vizuri leoAmekusikia asee!!
Maskini Waswiz....kidogo wachapwe la 5 kama Spain...
Na wasipokuwa makini watachapwa...
Huyu Dogo Pogba atafika mbali,sema zile hasira zake tu
Cissoko 5
Masikini Uswiss wanataka kufanywa kama Spain hawa mmmh!! Afadhali sina timu hapa leo. Presha tupu
mpira uliharbika baada ya goli la pili tuUtamu wa mpira haupo tena....
Ila France wamepata nafasi ya kusafisha jina walilolichafua SA 2010!
Team Suisse mpo?