World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kwa hiyo alicholalamikia Yaya ni sahihi, Man City walimnyima nafasi ya kwenda kuspend na dying brother wake. Wewe unavyomsema amekuwa diva sababu analaumu mwajiri wake kwa kumnyima nafasi ya kuwa na ndugu yake ambaye alikuwa mgonjwa si safi. Fikiria iwe wewe una ndugu yako aliye katika hali kama hiyo afu mwajiri wako anakunyima nafasi ya kwenda kumtembelea mgonjwa wako je utajisikia poa tu just kwa vile unaishi West? Hata huku West kuna watu wanapewa nafasi ya kuspend time na mtu aliye katika stage za mwisho wa life yake... comforting ni muhimu popote pale duniani.

mtu anaelalamika hata kuimbiwa happy birthday ni 'diva' tu...sio lazima upewe ruhusa kila unapoomba....deal with it.
 
_75841016_tackle.jpg
 
Karim Benzema has woken up which, of course, means Loic Remy will not be allowed to come on.
 
[TABLE="class: league-wc, width: 468"]
[TR="class: match"]
[TD="class: fd, bgcolor: #EEEEEE"]
flash.gif
71'[/TD]
[TD="class: tl, bgcolor: #EEEEEE, align: right"]Honduras[/TD]
[TD="class: fs, bgcolor: #EEEEEE, align: center"]0 - 3[/TD]
[TD="class: tr, bgcolor: #EEEEEE"]Switzerland[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Xherdan Shaqiri kapiga hat-trick
 
mtu anaelalamika hata kuimbiwa happy birthday ni 'diva' tu...sio lazima upewe ruhusa kila unapoomba....deal with it.

For some reasons, siamini kama ni kweli alilalamikia kuwa hajaimbiwa wala kupewa Happy birthday. Kwa mtu aliyekulia Afrika kama Yaya siamini kama anaweza kulilia birthday, unaweza kukuta kuna baadhi ya birthday zake ziliwahi kumpita bila kujua au kula keki au kuimbiwa happy birthday. Hii issue inaweza kuwa udaku wa waandishi wa UK/Europe.
 
Back
Top Bottom