World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mechi nyingine ya USA na Ujerumani ni usanii mtupu!!!! Wanakimbiakimbia tu uwanjani. Timu moja inaenda na mpira inapokaribia goli la mwenzake wanaurudisha nyuma na kuanza tena na kuishia kuupoteza na timu nyingine nayo inafanya hivyo hivyo. Kuna mashuti ya kisanii yamepigwa sijui mawili matatu. Hii mechi itaisha kwa 0-0.

Ishachezwa hiyo
 
Jamani hebu nipeni updates za mkoloni wetu wa zamani na wa sasa mambo yakoje kule?
 
Back
Top Bottom