HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Brasil watawatoa Colombia kirahisi sana,incase Colombia akiingia robo fainali
Yoyote ataepita hapa atatolewa sababu wanatumia nguvu kuliko akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brasil watawatoa Colombia kirahisi sana,incase Colombia akiingia robo fainali
Umeshaanza lakini hauna manjonjo kama ule wa kwanza, ila Colombia wanastahili kushinda mechi hii kwa kuangalia performance ya timu zote mbili katika mechi zao za nyuma.
kumbe km mimi wakitolewa brazil ndo bas.....!
Ya na commentator anasema hiyo record anayo Ronaldo de Lima na Rivaldo tu. Dogo nae kaingia.
Brilliant goal. Just Brilliant
Yoyote ataepita hapa atatolewa sababu wanatumia nguvu kuliko akili
Kabla ya hapo alisema "he had the ability and the audacity to do it". Just brilliant!
Jamani ma commentator wetu hawajifunzi kwa hawa wenzetu? Ongea maneno matamu ya kumvutia mtazamaji.
amerika kusini wanamjulia sana brazil
Kweli wale wanaweza na Brazil atakutana nao sana
Kabisa mkuu,Rodrugez alipoweka gambani alikuwa na maamuzi ya haraka na yenye uhakika,dogo mzuri.
Na Italia je?wao ulikuwa hautamani wacheze usiku kucha?Laiti binadamu angekuwa hachoki,ningetamani Colombia wacheze mpira usiku kucha nawatazama tuu!
Brasil watawatoa Colombia kirahisi sana,incase Colombia akiingia robo fainali
Mkuu ile gambani na kugeuka nao afu kuachia bunduki kama ile ni muujiza...don't take it easy! Ile ni superb turn.
brazil anaweza kusonga mbele nusu faianali lakini atapata shida sana kwa hawa madogo
Hii gemu haiishi bila red card kwa timu ya Uruguay