World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

DonDonald naacha kushabikia na kutangaza timu nitakazoshabikia kuanzia kesho.
 
Last edited by a moderator:
dk 63 evra hana hata presha kwa sababu kashazoea kupoteza game muhimu kama hizi akiwa na man united
 
Nadhani Kocha wa france alitakiwa kumsabu benzema hayupo mchezoni
 
Je jogoo atawika au atachinjwa, dakika 22 zimebaki tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom