World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Katavi leo usitaje timu gani unashabikia.....unaumiza watu sana!
 
Sure, why not?
Lakini so far sijaona kiwango wala lile samba la kibrazil kuniconvince otherwise, team inacheza ikimtegemea sana Neymar, huruma za marefa na undava kama jana
Ujerumani so far wamequalify kutoka kwenye kundi gumu na wamekutana na mitahani miwili mitatu mpaka sasa, lakini wameweza kuhold their nerves na kupata matokeo bila kutumia dark arts kama Brazil
Watu wengi wamekuwa wakiidharau Brazil lakini wao wanaendelea kuchanja mbuga. Sasa wanaisifu Ujerumani lakini mwisho wa siku watashangaa mkoloni anaangushwa pwaaaaa!!!
 
Argentina anapita bila shaka.....ngoma ipo kwa mdachi ingawa ndo ana kura yangu leo....

Hee, mkuu leo unataka kulala vibaya!. Leo ni siku ya Belgium, go Belgium go!. Wapi Lukaku, wapi Origi? Mtaitaka, go Belgium go!
 
Hee, mkuu leo unataka kulala vibaya!. Leo ni siku ya Belgium, go Belgium go!. Wapi Lukaku, wapi Origi? Mtaitaka, go Belgium go!

Usimtaje na Hazard na Kompany usijemtia shinikizo la damu la juu bure.
 
Back
Top Bottom