World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kikolo nimeenda sehemu 3 tofauti wote wanasema hawauzi kwa sasa mbuzi -katoliki sababu ya mfungo wa Ramadhan

Hata mimi nilihisi this time itakuwa shida kuwapata...ila hata hivyo naona gemu itakuwa laini kinyume na tulivyotegemea!

Inaonekana Belgium watakuwa mdebwedo kama Colombia jana.
 
Genius at work!
2400144_big-lnd.jpg
 
Msemakweli mpenzi wa mungu.

Ni kweli mkuu mimi naangalia mpira na ufundi ila si ushabiki tu, anayecheza vzr ntamkubali na anayeboronga ntamponda, lakini yote kwa yote leo niko Belgium. Asante.
 
Mie nimeshangaa kwanini hakuanza mechi hii muhimu sana hasa ukitilia maanani yeye ndiye sababu kubwa ya kupata magoli mawili yaliyowavusha hadi kwenye QF. Pamoja na hayo mimi ni #TeamArgentina.

Lukaku is warming up. Anakuja ujaribu kuokoa Jahazi.
 
Robo finali zilifuzu timu nane; nne Ulaya na nne Amerika Kusini.
Kama nusu finali zitafuzu timu nne; mbili Ulaya na mbili Amerika Kusini!
Je finali? Moja Ulaya na moja Amerika Kusini? Hapa ndipo iko kazi!
Je bingwa atatoka Ulaya au Amerika Kusini? Anybody wanna bet?
 
Back
Top Bottom