World Islamic Cup, 2022 Qatar

World Islamic Cup, 2022 Qatar

kwa hyo Yule yesu aliyetahiriwa alikuwa Nani kipindi anatahiriwa?
Yaani alikuwa na cheo gan?
Jibril alivyokuwa anatumia mwili wa yule choko kalbi na yupo room na Muhammad ilikuwaje

.................I did not know him more than any man among you. That was Jibril, peace be upon you, who came down in the form of Dihyah Al-Kalbi.'" Sunan an-Nasa'i 4991
 
Twende taratibu.yule yesu aliyetahiriwa wakati anatahiriwa alikuwa na cheo gani?
Jibril alivyokuwa anatumia mwili wa yule choko kalbi na yupo room na Muhammad ilikuwaje

.................I did not know him more than any man among you. That was Jibril, peace be upon you, who came down in the form of Dihyah Al-Kalbi.'" Sunan an-Nasa'i 4991
 
wakati yesu yupo duniani.paulo hakuwepo.ikapita miaka mingi ndipo akaja Paulo akadai utume alipewa na Nani huo utume?
Na ikiwa Paulo ni mtume yesu ni Nani?
Kwa Nini ulisema Paul hajawahi muona Yesu ,ulikuwa unataka Kuweka point ipi?
 
Makafir wanaumia
Kusadiki kuwa baada ya kufa utapewa wanawake mabikra 72 ili ufanye nao mapenzi na wakati mwili umeuacha kaburini ni ukafiri wa kupitiliza.
Mbinguni( peponi) siyo mahali pa kufanya mapenzi ( kwa maana, ngono ni maisha ya duniani. Baada ya kufa hayapo tena).
 
wakati yesu yupo duniani.paulo hakuwepo.ikapita miaka mingi ndipo akaja Paulo akadai utume alipewa na Nani huo utume?
Na ikiwa Paulo ni mtume yesu ni Nani?
Muhammad hajawai kumuona allah na akadai amepewa utume na allah ilikuwaje ?
 
Kwa hyo yesu hakuwa Mungu?
Soma tena

Yohana 4:24: "Mungu ni roho,... Nature ya Mungu wa wakristo ni Roho mda wote ila Ali manifest in human flesh 1 Tim 3:16 And without controversy great is the mystery of godliness: God was manifest in the flesh,...
 
Back
Top Bottom