Asabuhi leo napitia pitia na kusikiliza Radio Free Africa. Jana hii Taasisi imetoa msaada wa Kilo 3 za maharage kutoka Saudia. Mayor amewashukuru sana na kuishukuru Saudia kwa msaada huu mkubwa kwa wenye shida.
Habari hii imetangazwa sana kitaifa na kimataifa. Asanteni sana ndugu zetu katika imani kwa msaada huu.
Kwani kilo tatu kwa ambaye hana ni kidogo??Asabuhi leo napitia pitia na kusikiliza Radio Free Africa. Jana hii Taasisi imetoa msaada wa Kilo 3 za maharage kutoka Saudia. Mayor amewashukuru sana na kuishukuru Saudia kwa msaada huu mkubwa kwa wenye shida.
Habari hii imetangazwa sana kitaifa na kimataifa. Asanteni sana ndugu zetu katika imani kwa msaada huu.
Acha kutangaza habari za kusikia sikia.Na kama ni kusikia lazima uyatege masikio yako vyema ili usije ukasimulia ukaonekana ni mbeya.Asabuhi leo napitia pitia na kusikiliza Radio Free Africa. Jana hii Taasisi imetoa msaada wa Kilo 3 za maharage kutoka Saudia. Mayor amewashukuru sana na kuishukuru Saudia kwa msaada huu mkubwa kwa wenye shida.
Habari hii imetangazwa sana kitaifa na kimataifa. Asanteni sana ndugu zetu katika imani kwa msaada huu.
Nchi yenye resources mbalimbali inaamua kutoa msaada.Kwani kilo tatu kwa ambaye hana ni kidogo??
Kg 3.maharage kilo 3 au tani 3 ambazo ni sawa na kilo elfu3??? au unachanganya
Nilitega vizuri sana masikio Ami.Acha kutangaza habari za kusikia sikia.Na kama ni kusikia lazima uyatege masikio yako vyema ili usije ukasimulia ukaonekana ni mbeya.
Kuna shida pahala tena shida kubwaNchi yenye resources mbalimbali inaamua kutoa msaada.
Ambao ni kilo 3 za maharage.
Kisha mstahiki meya anaenda kushukuru.
Unahisi ni kawaida?
Kama ulitega vizuri na ndicho ulichosikia turarudi kwa hicho kituo cha redio isijekuwa kinamilikiwa na wale wenye visasi na watu fulani fulani.Nilitega vizuri sana masikio Ami.
Mihemko mkuu, na huyo lengo lake hasa si hiyo habari bali kuendeleza ule mjadala wao wa chuki waliouanzisha na 'kujiapiza' kuuendeleza. Sasa katika haraka ya kuwaita 'wenzake' jamvini ndiyo hivyo tena amejikuta anachapia.Acha kutangaza habari za kusikia sikia.Na kama ni kusikia lazima uyatege masikio yako vyema ili usije ukasimulia ukaonekana ni mbeya.