World Muslim Link yatoa msaada wa kilo 3 za Maharage kwa yatima kutoka Serikali ya Saudia, Mstahiki Mayor wa Temeke awashukuru

World Muslim Link yatoa msaada wa kilo 3 za Maharage kwa yatima kutoka Serikali ya Saudia, Mstahiki Mayor wa Temeke awashukuru

Bado mkaa wa kupikia ivi wanawaonaje hao yatima yani
 
Kama ulitega vizuri na ndicho ulichosikia turarudi kwa hicho kituo cha redio isijekuwa kinamilikiwa na wale wenye visasi na watu fulani fulani.
Kwa kutumia redio yao wanaweza wakatangaza kitu cha kuwadharaulisha watu na hawana hofu yoyote.
Watafute na hao waliotoa msaada halafu urudi hapa na details.
 
Nchi yenye resources mbalimbali inaamua kutoa msaada.

Ambao ni kilo 3 za maharage.

Kisha mstahiki meya anaenda kushukuru.

Unahisi ni kawaida?
Mkuu tupo sitiaz na Bandari.

Kilo tatu kha!

Mungu awabariki
 
Asabuhi leo napitia pitia na kusikiliza Radio Free Africa. Jana hii Taasisi imetoa msaada wa Kilo 3 za maharage kutoka Saudia. Mayor amewashukuru sana na kuishukuru Saudia kwa msaada huu mkubwa kwa wenye shida.

Habari hii imetangazwa sana kitaifa na kimataifa. Asanteni sana ndugu zetu katika imani kwa msaada huu.
Nao tuwape viwanja vya ndege vyote?
 
Back
Top Bottom