Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuona nabii na mtume wa mwisho wa kandanda aliyeletwa duniani kutupunguzia stress.
Mkuu hata mimi nimebaki nashangaa tu leo.Nje ya mada. Hivi hii source #1 source #2 na Tunachokijua ni nini? Mana naona kwenye kila uzi vinatokea
Mkuu ue unaeka maelezo kdg wengne mpira tumeanza fatlia juz juz
Ikikaa karb na uaridi utanukia,mshana alisema picha hua na maana kubwa sana,leo hii neymar kaifikia record ya pele 77 goals after so many years hongera sana kwake NJR
Jezi za zaman zinachekesha sana,i wonder if the nxt nxt nxt generation pia watacheka jersey zetu
Sema hv vibukta virud tena mana kuna some players wanapenda sana kupandsha bukta zao during match af wanachomea kwenye "tait" to make the more short e.g mbappe na neymar,so hvo vbukta vtawafaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inaruhusiwa??? Yan kampokonya kipa mpira hata hajaurusha bado??? Rules za zamanRonaldinho aliutawala mpira! Aliuchezea mpira (wakati wengine wanaucheza mpira), magoli yake ni matamu sana. Burudani yake ni mpaka basi!!
Messi cha mtoto!!Hivi Messi hamfikii huyu jamaa eti?
Watapendeza sanaSema hv vibukta virud tena mana kuna some players wanapenda sana kupandsha bukta zao during match af wanachomea kwenye "tait" to make the more short e.g mbappe na neymar,so hvo vbukta vtawafaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee, muda unajua sana kubadilisha maisha na taste za watuJezi za zaman zinachekesha sana,i wonder if the nxt nxt nxt generation pia watacheka jersey zetu