Wosia wa Ballali kuwaumbua wengi!

Wosia wa Ballali kuwaumbua wengi!

Huyu mama Muganda alikuja kwa mambo yake na BWM na wala sio ushauri wa uchumi na ndio maana mama wa kichaga alipostuka ikabidi atimuliwe! Hii hadithi kwamba alicontribute to turn around the economy ni wishiful thinking tu. As to her pay huko W/B hapati hizo pesa unazosema anapata she is just a junior officer ; ukukmbuke kuna watu walikuwa maboss wake kule ambao sasa wapo hapa nyumbani hawakubaliani na figures hizo bro!!

- Mkuu aliyesema hizo figure sio mimi hebu soma tena, ila ninasema hivi Anna ana elimu kubwa sana na hawezi kuwa sekretari, labda hao wanakuambia hizo habari yaani waliowahi kuwepo huko WB, wanakupiga fiksi mkuu, maana tunaomfahamu kwa kairbu sana ni wengi mkuu.

- Anna amemsaidia sana Mkapa na uchumi, hayo mengine yaliingia tu in the middle, lakini haibadili ukweli kwamba alimsaidia kikazi maana ni wakati huo alipokuja ndio maambo yakaanza kubadilika. Ingawa haizuii hoja zenu zingine on Balali.

Respect.

FMEs!
 
Mimi binafsi mpaka leo hii siamini kama Mhe. Ballali alifariki. Mazishi yake yalifanyika kiutata. Padre aliyesalisha alikiri kutouona mwili wa marehemu. Sehemu alipofariki pia ilikuwa na utata...mara Boston, Mara DC, Mara Mid West....!!!
Siku hizi kuna face transplant....labda alishafanyiwa...atarudi Bongo.
Anaweza pia akawa amejificha "Cayman Islands"...who knows..!!
 
Ana mshara wake sio zaidi ya shilingi 90,000 kwa mwaka ni karani kama vile sekeretari. Hata akifanya mpaka astaafu hatapata zaidi ya hiyo. Balali pension yake haikuzidi 120.000. kwa mwaka. Sasa majumba yote hayo wameyapata na nini. Harusi ya mamilion gauni tu lilikuwa 50.000 dollars kule florance walialika watu kutoka vijijini kila kitu paid hizo hella zilitoka wapi. Balali kama kweli amekufa i hope yuko jehanam umaskini aliotutia.

Are you really serious about anna mganda ni Karani? kwahiyo ni karani wa world bank? ambaye anapelekwa Tanzania kusaidia kurecover economy? YOU MUST BE REALLY KIDDING ME? for a person to be given that opportunity he has to have experties and experience...

Pls mshahara wa mtu anayefanya world bank ni Tsh 90, 000 per year? or did you mean per month? ata cleaner wa bus stop in USA or Europe alipwi kidogo hivyo!!!. Mi naomba ufanye utafiti vizuri naona ujui usemalo mkuu. Unaongea na kuchangia tuu ili uonekane unajua. or this was suppose to be a joke!!!
 
Huyu mama Muganda alikuja kwa mambo yake na BWM na wala sio ushauri wa uchumi na ndio maana mama wa kichaga alipostuka ikabidi atimuliwe! Hii hadithi kwamba alicontribute to turn around the economy ni wishiful thinking tu. As to her pay huko W/B hapati hizo pesa unazosema anapata she is just a junior officer ; ukukmbuke kuna watu walikuwa maboss wake kule ambao sasa wapo hapa nyumbani hawakubaliani na figures hizo bro!!

Mkuu lets be realistic for once, kwahiyo Anna aliamua kuchukua likizo ndefu from WB kuja kuvinjari na BWM TZ? Maana kumbuka she was in TZ for more than a year i think possible for two years or so! sasa kama hakutumwa na WB how has she managed to keep her job up to now? Hamna mtu atakaye mpa likizo ndefu hivyo mtu for nothing.. do you think WB ni ya baba yake Anna au ya WBM?

Na ndugu yangu watu bongo kunafix nyingi sana. Eti kunawatu kibao walikuwa maboss wa Anna? haaa sasa mbona wako bongo now? WB pays my dear once you get a job most of the time you will really want to keep it.. unless you are going back home for more payable job which lets be honest bongo kazi gani unaweza kupata ata £50,000 a year plus children maintainance and possible accomodation maintaince as well?
 
Msanii namba moja, anadai kanyweshwa sumu bado hawataji wabaya wake, kauwa bado kimya, kachafuliwa na kila gazeti na kwenye mahakama bado dossier yake eti anasuburi muda muafaka.

Usanii wa Ballali umezidi kiwango, kawasaliti Watanzania kwa kujiingiza kwenye corruption ya ajabu kwa kushirikiana na majambazi ya nchi yetu, leo hii bado ndugu zake wanajaribu ku manipulate Watanzania ili eti wamsafishe, nosense!

Mwache yeye aendelee kufaidi mapesa aliyowaibia maskini huko kwenye visiwa alikojichimbia. Inasikitisha sana!

Nahisi hii habari ina uhusiano na vita kati ya mapapa na manyangumi. Sidhani kama kuna ukweli wowote kuhusu hiyo dossier, ukweli ni kwamba haipo na mambo yote yanayosemwa ni juhudi hiyo hiyo ya kuwafanyia usanii Watanzania. Hii dossier inatumika kama propaganda kila muda ukiwa muafaka kwa wale wanaojifanya walikuwa karibu na Ballali.. Swali langu ni lile lile ilivuja report ya EPA eti ndio iwe dossier ya Ballali?
Mtanzania,
Habari ya Dossier hii zilisemwa muda mfupi baada ya Dr. Ballali kufariki. Kwa vyovyote, Dossier hii itapaswa kupatikana vinginevyo, Kesi zinazoendelea ni kiinimacho. Hakuna uwezekano wa conviction yeyote wakati "approvals zote" za fedha za EPA na au instructions zote kama zinavyoonekana kwenye Foglio 14, 24, 35 za BOT zina saini yake mwenyewe. Kumbukeni hoja yangu ya toka mwanzo ni kwanini Serikali, na hata Kamati ya Mwanyika ilikataa kata kata kuchukua ushahidi wa Dr. Ballali. Hivyo, Watanzania, ili ukweli upatikane, tutafika mahali kudai hiyo Dossier ipatikane ili nafasi ya Dr. Ballali ijulikana kana Scam hii nzima. Ni swala la muda, tusubiri tutafika huko.
 
Mtanzania,
Habari ya Dossier hii zilisemwa muda mfupi baada ya Dr. Ballali kufariki. Kwa vyovyote, Dossier hii itapaswa kupatikana vinginevyo, Kesi zinazoendelea ni kiinimacho. Hakuna uwezekano wa conviction yeyote wakati "approvals zote" za fedha za EPA na au instructions zote kama zinavyoonekana kwenye Foglio 14, 24, 35 za BOT zina saini yake mwenyewe. Kumbukeni hoja yangu ya toka mwanzo ni kwanini Serikali, na hata Kamati ya Mwanyika ilikataa kata kata kuchukua ushahidi wa Dr. Ballali. Hivyo, Watanzania, ili ukweli upatikane, tutafika mahali kudai hiyo Dossier ipatikane ili nafasi ya Dr. Ballali ijulikana kana Scam hii nzima. Ni swala la muda, tusubiri tutafika huko.

simple answer walikataa maana walijua kwamba Balali akifungua mdomo so many will go down with him. Na hii ndio hoja yangu mimi, hiyo doser ipo na familia yake/relative will use it to protect themself as long as they can.
 
Mtanzania,
Habari ya Dossier hii zilisemwa muda mfupi baada ya Dr. Ballali kufariki. Kwa vyovyote, Dossier hii itapaswa kupatikana vinginevyo, Kesi zinazoendelea ni kiinimacho. Hakuna uwezekano wa conviction yeyote wakati "approvals zote" za fedha za EPA na au instructions zote kama zinavyoonekana kwenye Foglio 14, 24, 35 za BOT zina saini yake mwenyewe. Kumbukeni hoja yangu ya toka mwanzo ni kwanini Serikali, na hata Kamati ya Mwanyika ilikataa kata kata kuchukua ushahidi wa Dr. Ballali. Hivyo, Watanzania, ili ukweli upatikane, tutafika mahali kudai hiyo Dossier ipatikane ili nafasi ya Dr. Ballali ijulikana kana Scam hii nzima. Ni swala la muda, tusubiri tutafika huko.

- Hiyo kitu nijuavyo na nilisema muda mfupi sana baada ya Balali, kufariki kwamba wanazo watu wawili yaani Malegesi na Mkono, walio onana na marehemu muda mfupi kabla hajafariki.

- Ninarudia tena hiyo kitu wanayao Malegesi na Mkono, si majuzi tu tumesikia Malegesi amewekewa something au?

Respect.

FMEs!
 
- Hiyo kitu nijuavyo na nilisema muda mfupi sana baada ya Balali, kufariki kwamba wanazo watu wawili yaani Malegesi na Mkono, walio onana na marehemu muda mfupi kabla hajafariki.

- Ninarudia tena hiyo kitu wanayao Malegesi na Mkono, si majuzi tu tumesikia Malegesi amewekewa something au?

Respect.

FMEs!

Basi kama ni Malegesi na Mkono ndo wanayo, kama hawako tayari kuitoa kiungwana, washitakiwe na wao kivyao katika skendo lao la uhusika wao katika saga la BOT kama sikosei naowanahusika mahali, sasa katika kujitetea itabidi wailete tu.

But well hii isije ikatutoa kwenye hoja ya kukaba koromeo la Fisadi papa Rostamu Azizi, najua huyu akiangushwa Mengine yatafuatia tu. Kwani yeye ndo kashikilia kiini cha Ufisadi mwingi na kuinfluence sheria isichukue mkondo wake.
 
Basi kama ni Malegesi na Mkono ndo wanayo, kama hawako tayari kuitoa kiungwana, washitakiwe na wao kivyao katika skendo lao la uhusika wao katika saga la BOT kama sikosei naowanahusika mahali, sasa katika kujitetea itabidi wailete tu.

But well hii isije ikatutoa kwenye hoja ya kukaba koromeo la Fisadi papa Rostamu Azizi, najua huyu akiangushwa Mengine yatafuatia tu. Kwani yeye ndo kashikilia kiini cha Ufisadi mwingi na kuinfluence sheria isichukue mkondo wake.
Rwabugiri,

Asikudanganye mtu, hiyo dossier haipo, ni usanii ule ule wa Watanzania. Siku itakuja na kupita, hakuna kitu. Mwanzoni tuliambiwa baada ya wiki, ikaja baada ya mwezi, sasa ni baada ya mwaka.

Mambo yote ya Ballali ni usanii mtupu, ni kupoteza muda wenu hata kuumiza vichwa. Njia pekee ya kupata dossier ya Ballali ni kumchomoa huko alikojificha. Hili halitawezekana kwasababu waliotakiwa kumtafuta ndio wamefanikisha kujificha kwake.

Katika mambo yote aliyosema Ballali au familia yake tokea akiwa Dodoma, nimeshindwa kupata ukweli hata mmoja, jamaa alikuwa anatuchezea watanzania wakati huo akitafuta sehemu nzuri ya kujichimbia. Tukubali tumefungwa goli, vinginevyo mtasubiri dossier mpaka siku mnaenda kaburini.
 
Dr Slaa,
Kwa nini bunge lisimuombe Mh Mkapa na Col Apson waje walieleze Bunge au kamati ya fedha kwa kiapo yote wayajuayo kuhusu hili sakata? Tatizo ni nini? au sheria zetu butu kwa maana bunge letu halina meno bali lina fizi za kupitisha tu miswada?
Hawa watu wanajua yote kwa undani, in fact hata ukiangali kesi ya Yona na Mramba ni usanii mtupu hawa hawana kesi, kama wanayo kwani nini hatumkamati Lowasa na Msabaha kwa uzembe? au nao tunasubiri awamu nyingine ije iwakamate?
 
Boys_ii_Men_with_Kikwete.jpg


Kama raisi wenu anachekelea na nkuonyesha meno kwa boyz II men unategemea nini....serious president do not have time for this junks.....hajui nini kinaendelea huyu mkwere...!
 
Mengi yatasemwa lakini mengi yatakua tetesi tu. Wanaojua mambo 100% A-Z wapo na kwa sababu isiyo julikana wna lindana. Hii skendo ina deep roots na data zikitoka ni wengi wata guswa ndiyo maana wana lindana. Kuna watu labda hawaku husika moja kwa moja lakini kwa namna moja au nyingine walijua ishu so wanaogopa umma utawaonaje.
Tatizo kila mwenye ushaidi na mwenzie ni fisadi ndiyo maana kuna mambo ya nichunie niku chunie.

Watu wajiulize kwa nini wakina EL na wengine wote hawa shitakiwi? Kwa nini wanaendelea kuushikilia ubunge? Umesikia wapi mtu kujiuzulu kwa ufisadi na bado akabaki na uheshimiwa? Hawa watu waliambiwa nyie bwana mna miskendo kubwa ili kuokoa serikali jiuzuluni. Ndiyo maana baada ya kujiuzulu halija fanyika chochote. Kwanza hawa watu cheo siyo taabu kwa maana wanaendelea kula. Ni sawa sawa na CEO wa kampuni ajiuzulu lakini bado ana share kwenye kampuni. Ana hasara gani? Wakati hela bado ana kula.

Kuna siri kubwa ime jificha na I'm sure kuna mabo mengi yanaendelea behind closed doors. Kuna information nyingi umma hawana. Ukweli wanajua wao na as long as the public only has rumors wala hawana tabu yoyote. Tutaendelea kuwasema, wata jiuzulu lakini "vijisenti" washa tuibia na hawa zirudishi na bado wanaendelea kufaidi jasho letu.

Hii vita zidi ya ufisadi has to take a new approach na watu watambue kuwa wabaya wengine wala hatu wazani. Wao wataendelea kuleak information wanazo zitka wao ili umma iendelee kuhangaika kuchambua nini mchele nini mpunga.

All these fools are buying time. Jinsi muda unavyo kwenda ndivyo wanavyo jipanga kujiokoa. watu wale wale wanao takiwa kuwa shikati ndiyo wana walinda. There is more to this issue then meets the eye. Kuna mambo mengi watanzania hatujui ila tujue tu huko nyuma ya milango wenzetu wana mikakati yao.
 
Tatizo kubwa la Tanzania ni mfumo wa uongozi. Raisi ana teua majaji, viongozi wakuu wa polisi na nchi, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, BOT mpaka mkuu wa TAKUKURU. Ukiangalia nyanja zote za kutetea maslahi ya taifa kuna watu wa kuteuliwa na raisi. Sasa hapa hamuoni mtu akiweza kumuweka raisi mkononi kaiweka nchi mkononi? Sisemi JK kanunuliwa but jiulize, wakati EL ni waziri mkuu mnazani hakuwa na ushawishi katika nani ateuliwe wapi? Obviously atakua ame push watu wake wawekwe sehemu mbali mbali as much as possible. Pia it is a known fact JK kasaidiwa kupata uraisi na wana mtandao, do you think he can completely turn his backs against them? Wananchi watam lalamikia JK sana tu ila ina wezekana yeye raisi jina tu na wanao endesha nchi ni wengine. Na kama hao wanaoendesha nchi behind closed doors ndiyo hao hao mafisadi mna tegemea nini?
Ndiyo maana mwenzenu ana jilia zake safari za nje na kufaidi uongozi while he can because anajua fika nchi hii yeye amekua puppet tu. Anyways tuendelee kupigania ukweli ujulikane.
 
Rwabugiri,

Asikudanganye mtu, hiyo dossier haipo, ni usanii ule ule wa Watanzania. Siku itakuja na kupita, hakuna kitu. Mwanzoni tuliambiwa baada ya wiki, ikaja baada ya mwezi, sasa ni baada ya mwaka.

Mambo yote ya Ballali ni usanii mtupu, ni kupoteza muda wenu hata kuumiza vichwa. Njia pekee ya kupata dossier ya Ballali ni kumchomoa huko alikojificha. Hili halitawezekana kwasababu waliotakiwa kumtafuta ndio wamefanikisha kujificha kwake.

Katika mambo yote aliyosema Ballali au familia yake tokea akiwa Dodoma, nimeshindwa kupata ukweli hata mmoja, jamaa alikuwa anatuchezea watanzania wakati huo akitafuta sehemu nzuri ya kujichimbia. Tukubali tumefungwa goli, vinginevyo mtasubiri dossier mpaka siku mnaenda kaburini.
Why you want people believe what you're saying? Dr. Slaa hapo juu ameeleza vizuri sana na it makes the issue well put na all options zipo. Hii ya kuleta hadithi za Abunuwasi na kufikirika makes us too low at this forum. Ballali was an appointee in a position, ok he may have been a "thief"; but it will not make sense to just go ranting and raging; while by all means the chief culprits are living and are happy seeing what we are writing here.
 
Back
Top Bottom