Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Ha ha ha ha na evening tea za serena pale na mashostizo. Usisahau mama mercy pia ndo source of everything. Na amepigika sana kuanzia kule bonite...


Naomba reo urare kifudifudi mkuu umenifurahisha sana[emoji23][emoji23][emoji23] yaan u are on point. Sema anaishi kwa machale baalaaa sasa hv. Muda wote anahisi kuna snipper anampimia
 
Pole Jack ...mimi kama mwenyekiti msaidizi wa madangaji tanzania nimesikitishwa na hii hukumu,ila mwenzetu ulikosea sana ulitakiwa uwa include watoto wa mke wa kwanza kwenye urithi ikiwezekana mkae kama familia mjue mnagawana vipi...sasa wewe urithi wote ni wako na wanao...mbona hata haitaji ujuzi kutilia shaka haya maamuzi...??? hata kama alifanya kosa kuandika hivyo ungekua na chembe ya ubinadamu ungefikiria watoto wake wa mke wa kwanza na kumuomba Mengi aandike kwa watoto wote,ila mwenzangu sijui ni u-selfishness ama roho ya tamaa..leo unaachwa wazi...pole lakini
 
Hawa wadada wacha wasikishwe adabu. Wanataka tumia jina la mjane katika ujambazi wao. Wanadhani kule mahakamani watu wanatumia hisia.
 

Kwa hiyo na Benjamin Mengi ni mtoto wa Reginald Mengi???
 
Hawa wadada wacha wasikishwe adabu. Wanataka tumia jina la mjane katika ujambazi wao. Wanadhani kule mahakamani watu wanatumia hisia.
Hivi huwa mnanasaje kwa hawa makahaba? Hebu niambie mkuu. Yaan red lights zoote mnaziona lkn bado mnaingia. Inakuaje?
 
Ndio maana ikaitwa sheria.. Pole Jack nenda mbinguni ukakate rufaa maana hapa Duniani una chako kwenye timbwili ulilo lianzisha....
Chukua utakacho pewa kwani hiko ndio stahiki yako....
Funzo.. Mabint ukimuona Mzee ana mali ujue kachuma na wakwao..
 
Ushauri kwa watoto wa Mengi...Msijitwishe Dhambi...Huyu Ni mama yenu mdogo..Kaeni nae mkubaliane wadogo zenu wale wapate matumizi yote kama Baba Yao alivyokuepo wakikua wajoin kampuni.

KWA Jack achana na matapeli wa mjini watakula japo vijisenti vidogo ulivyonavyo wakikudanganya...anzisha biashara yako una jina la mzee pambana utatoka.

JENGA harmony na wale watoto wakubwa wa Mumeo hata katika Mazingira haya magumu haya mambo yaishe....Ukiwafuata Mawakili hawa waongo waongo watakuumiza.Watakula hela zote Utashangaa.
 
Mahakama imetenda haki.

Kwenye kile kifungu kwenye wosia eti atakae jaribu kuweka pingamizi kwenye maamuzi aliyoyatoa marehemu mzee mengi iwapo atashinda kesi apatiwe Buku. Ndio nilijua wanawake wa kuokoteza uzeeni sio wazuri
Sio uzeeni mkuu, usiombe uteleze kwenye haya mambo aisee.. ishi nao kwa akili biblia imeonya

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Yani katuangusha huyu bidada mwenzetu. Nimemuonea huruma pia ila atapata share yake kiasi kupitia kwa matwins
 
mshambuliaji wa KAIZERCHIEF
ameomba wajanewote wasikose UWANJANI

amehaidi kuwafurahisha na kuwapa FURAHA ya moyoni...alichofanya South Africa aku akubahatisha
#kiingilioopesayakooo



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…