mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Itakuwa tanesco pale nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipokuwa mdogo wa umri wa miaka 12 hivi nilikuwa ninakwenda sehemu wachezayo BASKETBALL ambayo alikuwa hakosi kutokea yaani kipindi hicho alikuwa ni mzuri wa kuvutia huku akipiga pamba kali ila kila siku zisogeako anazidi kuwa na uso wa "serious ya mazabe ya KIMAISHA"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alafu aliyekuwa anacheza naye
Alikuwa nyembera Patrick
Miaka hiyo dem alikuwa ana push discovery
Ova