Kumpa utamu mwanaume ni kazi tena ngumu. Wanahitaji k more than women do. Hakuna mwanaume rijali anayeweza kuishi bila k. Mwanamke anastahili kuwa compensated. Sema tu Jacky hakucheza karata zake vizuriWadangaji wajifunze kufanya kazi kama wengine, hakuna cha bure duniani.
Bashite ndo alimpa kichwaam so happy that the bitch lost...
Mkuu maelezo ni hayo kwenye attachment labda kama unataka kwa kiswahili ambacho hata Mimi sijui
YOU MEAN SHE WAS A GOLD DIGGER? NDIO WATOTO WA MJINI WALIVYO: HAPENDWI MTU NI POCHI TU!Nna wasiwasi na mapenzi yake kwa mzee...sidhani kama alikuwa na true love
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndio nashangaa huyu serengeti boy sijui kavuta bangi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzabzab leo hii amekuwa mama?
Ukiwa na uzuri kama ule alafu usiwe golder digger ni total misuse of resourcesYOU MEAN SHE WAS A GOLD DIGGER? NDIO WATOTO WA MJINI WALIVYO: HAPENDWI MTU NI POCHI TU!
Yaani hizi mbususu bwana ni hatari ila tamuuu sana. Anyways cha msingi mzee alisasambua mbususu. Yeye yupo six feet under watajiju waliobakiaSio uzeeni mkuu, usiombe uteleze kwenye haya mambo aisee.. ishi nao kwa akili biblia imeonya
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
So, possibly hapa kutakuwa na habari ya homicide kama uchunguzi yakinifu ukifanyika.Siku moja nikamwuliza advocate mbona naona mhuri wako kwenye ule wosia? And she was like mimi sijauandaa. Niliitwa tu ukiwa ushaandaliwa na nikaweka muhuri tu. Advocate alihojiwa siku nzima. Na kiukweli kabisa apongezwe kwasababu alikua hayuko aware. Alijua tu michongo kama mingine. Na akasimamia ukweli na kuelezea kila kitu. Amemshika sana Mungu. So aibu ibaki kwa mhusika na tamaa zake.
Atulie na huyo bwnaake mzungu sasa na asubirie kugaiwa sawasawa na stahiki zake anazostahili na si according na usia aliouandaa
Ndio vinavyodanganya. Vinakuja kustuka vimeshafika 30 years. No babies, no marriage, no balance kwenye account ya bank, complicated and undatable.Asee we binadamu umenifanya nicheke msibani... sio fresh namna hii... dah
Dah kulamba 100% ya urithi hata watoto wa primary level wanaweza kususpect kuwa something is fishy about the whole thing.Still pia ingekua ngumu mkuu. Everything was in order ukiacha huu ujinga wake aliouandika. Kajinga sana.
Sasa hivi ni mjane wa mengiKwahiyo kwa sasa sio Bosslady tena Jacky?
Jeahini akaona aachane nako na uhasibu ,aaze ujaslia Mali ,bint wajuzi tu alemali hizo hawa wasanii kwann wavivuHuyu dada kashindwa kutafuta hela zake mwenyewe, anataka kutumbua za huyu Mzee wa watu aliyechuma miaka nenda rudi tena kwa shida kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wakiwatazama akina kim Kardashian au akina Jlo wanaona hapana na sisi yale maisha Iazima tunaishi. Anasahau kuwa wale wenzake ni Golf fish yeye ni kibua.Ha ha ha ha na evening tea za serena pale na mashostizo. Usisahau mama mercy pia ndo source of everything. Na amepigika sana kuanzia kule bonite...
Naomba reo urare kifudifudi mkuu umenifurahisha sana[emoji23][emoji23][emoji23] yaan u are on point. Sema anaishi kwa machale baalaaa sasa hv. Muda wote anahisi kuna snipper anampimia
Kutokana na mtiririko wa matukio ulivyokwenda alishajua kule hawana tena urafiki nae. So akaona kama mbwai mbwai tu.Pole Jack ...mimi kama mwenyekiti msaidizi wa madangaji tanzania nimesikitishwa na hii hukumu,ila mwenzetu ulikosea sana ulitakiwa uwa include watoto wa mke wa kwanza kwenye urithi ikiwezekana mkae kama familia mjue mnagawana vipi...sasa wewe urithi wote ni wako na wanao...mbona hata haitaji ujuzi kutilia shaka haya maamuzi...??? hata kama alifanya kosa kuandika hivyo ungekua na chembe ya ubinadamu ungefikiria watoto wake wa mke wa kwanza na kumuomba Mengi aandike kwa watoto wote,ila mwenzangu sijui ni u-selfishness ama roho ya tamaa..leo unaachwa wazi...pole lakini
A bit*h indeedam so happy that the bitch lost...
Unajua hawa wazee wetu, lifestyle yao miaka hiyo ilikuwa ni kuoa mke mchapakazi ili kutafuta nae maisha sasa maisha yakishapatikana yule mke ghafla anakosa mvuto anaonekana kituko wanaanza sasa kutaka kurevege walichokosa wakati wa ujana kipindi wanachafu kunuka hakuna mtu anawataka.Hivi huwa mnanasaje kwa hawa makahaba? Hebu niambie mkuu. Yaan red lights zoote mnaziona lkn bado mnaingia. Inakuaje?
Watamkausha hata aminiNdio maana ikaitwa sheria.. Pole Jack nenda mbinguni ukakate rufaa maana hapa Duniani una chako kwenye timbwili ulilo lianzisha....
Chukua utakacho pewa kwani hiko ndio stahiki yako....
Funzo.. Mabint ukimuona Mzee ana mali ujue kachuma na wakwao..
Bi dada akataka kuwapiga Uturn wazee wa mila.Vilevile kwa taratibu za kichaga ambazo ni mila na desturi za kitanzania mwanaume wa ukoo/ familia ndio anapaswa kuwa msimamizi wa miradhi na kiongozi wa familia kama mzee mwenye nyumba amefariki