Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Ujuaji wako tu unafikiri vinapatikana kirahisi? Hata kama Mengi alikuwa boya sio namna hiyo
 
Jaçk atapewa kitachomsababishia stress

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka zao wapo watasimamia show

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa inawakuwaje watoto waliozaliwa na jaq wanatambuliwa ila mama(jaq) wamtenge? Sheria si zinasema mkishakaa na m/ke(me) zaidi ya miezi sita ni mkeo/mme by default.
Hata Jaq anatambuliwa, mgao bado hawajagawana. Hata ukae na mwanamke miaka 20 bila kufunga ndoa huyo sio mke wako, hilo unalosema ni stori za mtaani tu.
 
Mahakama imetenda haki.

Kwenye kile kifungu kwenye wosia eti atakae jaribu kuweka pingamizi kwenye maamuzi aliyoyatoa marehemu mzee mengi iwapo atashinda kesi apatiwe Buku. Ndio nilijua wanawake wa kuokoteza uzeeni sio wazuri
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hata Jaq anatambuliwa, mgao bado hawajagawana. Hata ukae na mwanamke miaka 20 bila kufunga ndoa huyo sio mke wako, hilo unalosema ni stori za mtaani tu.

Mkuu mtafute mwanasheria akupe updates kuhusu kukaa na mwanamke miezi 6 hata kama mjafunga ndoa.
 
Rasmi sasa JAQ MENGI kuungana na genge la kina SEPENGA, UWOYA na AMBER RUTTY kutumia reslimali yake kupata kipato maana alizoeshwa na yule mchagga maisha ya juu sana.
 
Huyu dada kashindwa kutafuta hela zake mwenyewe, anataka kutumbua za huyu Mzee wa watu aliyechuma miaka nenda rudi tena kwa shida kubwa.

Halafu anamwita baby
Dunia imepinda kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…