Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Enzi za tanesco msasani,uwanja wa basketball
 
Inabidi wamshitaki kwa kufoji saini na kufanya hujuma. Wabadili shitaka , apewe shitaka la jinai
 
Mshiki acha utamu wa k tunaujua sisi kaka zako
 
Haujui taratibu za kuandika wosia, pia tafuta kesi uisome upate elimu kidogo.
 
Sasa huyo kamata si kibaka tu,yani akute mali atake iwe yake na watoto wake ambao sio wa likwelile....malaya sugu huyo
 
Sio sheria tu iliyostaajabu ujinga huu, huyu Jack alitaka kutufanya sisi mambumbu...hivi hao watoto walioshinda hiyo kesi walimfanyia kibaya kipi baba yao mpk awanyime urithi?

Kweli mtu anaweza kuwa mzuri wa sura lkn rohoni akawa mchafu kama choo...familia inatakiwa iwe makini na huyu mtu anaweza kuwa ndiye aliyeua Mzee wao,hafai kabisa mdhulumati mjinga sijapata kuona[emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Uamuzi we marehemu uheshimiwe, ndio alivyotaka, si mali yake? Huyo kaka/mdogo yake walichuma wote? Mbona yeye hana utajiri kama wa nduguye?
Haujui sheria za mirathi, kaa kwa kutulia.
 
Kwahiyo kulinganana na hukumu, Jacquiline hakuwa mmoja wa walalamikaji kwenye hii kesi, au nimeelewa vibaya? Maana mwisho kabisa inaelezwa Jacquiline alikataliwa mara 3 kuunganishwa kwenye kesi.
 
Kipindi chote alichokuwa na mahusiano na mzee nna uhakika hizo b3 za kupiga tayari anazo tatizo lake ni tamaa ya kutaka mabilioni yote ya mzee mchana kweupe wakati mzee ana watoto ambao hakuwa hata matatizo nao....na katika hili naamini alichokuwa anasema mange kuna watu nyuma ya huyu mjinga walim push kufanya huu ujinga kwa maana watamsaidia ashinde kesi ili baadae wagawane hayo mabilioni
 
Kwani mzee alikuwa na shida sana na watoto hadi amwambie hivyo?
Wewe sie wanaume ikija suala la mbususu utashangaa pamoja na kutokuwa na uhitaji bado angekubali tuu.
Yule mwanamke mwenye she didnt play her cards right.
Kwa sababu kwa uzuri ule unajua tuu kuwa hapa huyu babu anataka mbususu mbichi sasa he has to pay a price for it.
 
Wata appeal , ngoja tuone. Huyo Ntulabaliye alikuja kurithi mali, maana katika hali ya kawaid huwezi kulipenda lizee la uri huo kama hana mali. Kuna driving force ilimleta pale. Uzinzi mbaya na lizee likaingia mkenge!
Ataappeal nn sasa[emoji23][emoji23] mnamjazaga tu hivihivi
 
Basi kama ana mabillion maisha yanaendelea..
 
Tatizo maono tu wengine hawana hayo maono Wala connection
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…