Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipokuwa mdogo wa umri wa miaka 12 hivi nilikuwa ninakwenda sehemu wachezayo BASKETBALL ambayo alikuwa hakosi kutokea yaani kipindi hicho alikuwa ni mzuri wa kuvutia huku akipiga pamba kali ila kila siku zisogeako anazidi kuwa na uso wa "serious ya mazabe ya KIMAISHA"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enzi za tanesco msasani,uwanja wa basketball
 
Inabidi wamshitaki kwa kufoji saini na kufanya hujuma. Wabadili shitaka , apewe shitaka la jinai
 
Ila wazee wa kichagga sijui ndo niseme ni malimbukeni sana ama ni nn sijui. Yaan umalaya tu umewajaaa. Na haya ndo hugharimu familia. Watu wanazaa zaa ovyo. Nikimuwaza billionare mrema na ngurdoto yake na vitega uchumi vingine inasikitisha sana. Imagine michepuko imejilengesha huko kisa inajua kuna fursa. Wallah tungekifa wote. Halaf bado wanathibutu kunyoosha midomo.

Huyu procorine shayo naye aliyejigongesha juzi kati hapo tabata akafa naye baada ya kudaiwa kodi 2.4billion naye hovyo kabisa. Watu wanazaa ovyo ovyo tu. Hawajali masilahi ya wanaowaacha wala vitega uchumi walivyoviandaa... mtu uzeeni ndo unakuja fanya makosa ya kipuuzi hv. Mimi naheshimu watoto niliowakuta kabla ya ndoa. Ukija nimeshafunga utafurahi. Huyo baba yenu amalizane na nyie hukohuko. Tulieni jaman kaka zetu. Kwanza mnapitapita ovyo mnajiokotea maradhi wanawake wengine wamebeba mamikosi huko wengine wachawi tafrani.

Kaka zetu wa kichagga jitathminini sana. Munaacha majanga nyuma ya pazia..
Mshiki acha utamu wa k tunaujua sisi kaka zako
 
Hakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
Haujui taratibu za kuandika wosia, pia tafuta kesi uisome upate elimu kidogo.
 
Sisi tunaexpect ukishakua na wadhifa basi lazima ubehave kutokana na exposure. Siyo uact kiswahili. Pia mengi alijua sana migongano inayokuja lakini alikubali beba msalaba. Hili jambo linaonekana kwa ndugu zetu wachagga hawahawa na si mbali ndo maana ndo case zao twaziona. Mbona matajiri wengine hatuoni visa vyao?

Halafu kuna cha vicky kamata sasa hivi. Anataka dhulumu mali za watoto wa likwelile. Hivi wanaume ni vipofu ama tatuzo ni nn? Hizi ndoa za uzeeni kwa faida ya nani. Kama unahitaji penzi si muishie kuwa wapenzi tu? Halafu ni kuhangaika na mimama ya mjini tu
Sasa huyo kamata si kibaka tu,yani akute mali atake iwe yake na watoto wake ambao sio wa likwelile....malaya sugu huyo
 
Sio sheria tu iliyostaajabu ujinga huu, huyu Jack alitaka kutufanya sisi mambumbu...hivi hao watoto walioshinda hiyo kesi walimfanyia kibaya kipi baba yao mpk awanyime urithi?

Kweli mtu anaweza kuwa mzuri wa sura lkn rohoni akawa mchafu kama choo...familia inatakiwa iwe makini na huyu mtu anaweza kuwa ndiye aliyeua Mzee wao,hafai kabisa mdhulumati mjinga sijapata kuona[emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Uamuzi we marehemu uheshimiwe, ndio alivyotaka, si mali yake? Huyo kaka/mdogo yake walichuma wote? Mbona yeye hana utajiri kama wa nduguye?
Haujui sheria za mirathi, kaa kwa kutulia.
 
Kwahiyo kulinganana na hukumu, Jacquiline hakuwa mmoja wa walalamikaji kwenye hii kesi, au nimeelewa vibaya? Maana mwisho kabisa inaelezwa Jacquiline alikataliwa mara 3 kuunganishwa kwenye kesi.
 
Ah kila mwanamke yupo onna mission...kuoata mwanaume mwenye mihela....wanawake wanaangalia lofe lipo wapi na sio kwamba wanapenda.

Yeye alichobugi ni kwamba kabla ya kuzaa wale watoto angempiga pin kibabu. Kwanza weka billon tatu kwenye account yangu ndio nakuzalia. Tena una mwambia kabisa mzee kuwa hizo mali za huko nyuma ulizochuma na mkewe ni haki ya hao watoto wako wakubwa. Mie niwekee fungu langu kabisa ndio nakuzalia ili nisije kuvutana shati na watoto wako.
Kipindi chote alichokuwa na mahusiano na mzee nna uhakika hizo b3 za kupiga tayari anazo tatizo lake ni tamaa ya kutaka mabilioni yote ya mzee mchana kweupe wakati mzee ana watoto ambao hakuwa hata matatizo nao....na katika hili naamini alichokuwa anasema mange kuna watu nyuma ya huyu mjinga walim push kufanya huu ujinga kwa maana watamsaidia ashinde kesi ili baadae wagawane hayo mabilioni
 
Kwani mzee alikuwa na shida sana na watoto hadi amwambie hivyo?
Wewe sie wanaume ikija suala la mbususu utashangaa pamoja na kutokuwa na uhitaji bado angekubali tuu.
Yule mwanamke mwenye she didnt play her cards right.
Kwa sababu kwa uzuri ule unajua tuu kuwa hapa huyu babu anataka mbususu mbichi sasa he has to pay a price for it.
 
Wata appeal , ngoja tuone. Huyo Ntulabaliye alikuja kurithi mali, maana katika hali ya kawaid huwezi kulipenda lizee la uri huo kama hana mali. Kuna driving force ilimleta pale. Uzinzi mbaya na lizee likaingia mkenge!
Ataappeal nn sasa[emoji23][emoji23] mnamjazaga tu hivihivi
 
Kipindi chote alichokuwa na mahusiano na mzee nna uhakika hizo b3 za kupiga tayari anazo tatizo lake ni tamaa ya kutaka mabilioni yote ya mzee mchana kweupe wakati mzee ana watoto ambao hakuwa hata matatizo nao....na katika hili naamini alichokuwa anasema mange kuna watu nyuma ya huyu mjinga walim push kufanya huu ujinga kwa maana watamsaidia ashinde kesi ili baadae wagawane hayo mabilioni
Basi kama ana mabillion maisha yanaendelea..
 
Jewelry 92% wanazifanya wenzetu wahindi sijui tunafeli wapi waafrica...yaan kuutwa alikua anashinda na wale maslayqueen wake kujiselfie aisee mm mwaka mmoja nasimamisha bonge ya kampuni ..unachakarika had unahakikisha inesimama .naudhika sana na aina ya wanawake aina ile ..
Ningehakikisha nna vitalu vya uchimbaji eneo kubwa, vitalu ya uwindaji eneo lankutosha yaan sehemu zenye fweza angesimamisha kampuni za maana...mafala tu wale
Tatizo maono tu wengine hawana hayo maono Wala connection
 
Back
Top Bottom