Wosia uliandikwa marehemu akiwa katika hali ya kutoweza kuwa na maamuzi sahihi (mgonjwa)
Na mm nililisikia hapa hapa kuwa walikua wanasiginana..dah...bonge la laana kama ni kweliBushoke, mr Blue na jay mo hawajagonga kweli? Ila naskia uvumi yeye na huyuhuyu bint yake Mengi reg walkua blender na marafiki kichiz zamani
Sky Eclat
MuoneAngeanzisha hata danguro ingeendana na hadhi yake.
Bonge la mistakeAlikua akifanya , sema alishaachana nayo
Alishindwa kabisa tumia fursa kipindi mumewe yupo hai
Unakataa nini na ripoti za madaktari zinaonyesha Mengi alikua mgonjwa? Huyi jacky at times alikua hadi anataka kupigana ili mzee asitoe speech maana hakua poa. Hii ilikua imsaidie kujilindia mipango yake ovu. Unafikiri memgi angekya hana hela angekaa hapo hivi?Sidhani kama ni kweli, marehemu aliliewa tu na mapenzi ya jacky, usikute aliandika hivyo kweli, mapenzi yana nguvu sana na yule mzee ki ukweli alimpenda Jacky
Basi matokeo yake ndo hayo, wa masaki wamemwangushaHawezi kuuza fenicha Masaki kwa bei ya keko
Wadangaji wajifunze kufanya kazi kama wengine, hakuna cha bure duniani.
We unakimuhe na mm balaa..roho yako inakuumaga kila ukiona nimeandika chochote...yaan unateseka balaa...pole mkuu..ww KILA KITU KWAKO HAKIWEZEKANI .YAAN KILA KITU UNAONA HAKIWEZEKANI CHINI YA HII DUNIA...UNAULISHA UBONGO WAKO NEGATIVITIES TU ZA KIJINGA UNAJIBEBESHA MIZIGO NAFSINI MWAKO..YAAN UNATESEKA NA WATU WASIOKUHUSU😅😅!Ujuaji wako tu unafikiri vinapatikana kirahisi? Hata kama Mengi alikuwa boya sio namna hiyo
Sidhani kama ni kweli, marehemu aliliewa tu na mapenzi ya jacky, usikute aliandika hivyo kweli, mapenzi yana nguvu sana na yule mzee ki ukweli alimpenda Jacky
Hata sisi vijana tuna la kujifunzaSema Wazee Wetu pamoja na Mapito wanayopitia kwenye Ndoa zao, lipo Jambo la Kujifunza katika hili la Mzee Machache..!!!
Upepo ulikuwa wa Mzee Mengi😅 af watu wa Masaki hawawezi kutumia makochi ya kuchongeshwa keko!😅😅😅 wanaingia DanubeBasi matokeo yake ndo hayo, wa masaki wamemwangusha
Yale makochi angeuza bei ya uchumi wa kati
Angewavuna kweli uswazi huku
Wangejibana wakacheza michezo na kuweka vibubu ili wanunue
[emoji23][emoji23][emoji23]We unakimuhe na mm balaa..roho yako inakuumaga kila ukiona nimeandika chochote...yaan unateseka balaa...pole mkuu..ww KILA KITU KWAKO HAKIWEZEKANI .YAAN KILA KITU UNAONA HAKIWEZEKANI CHINI YA HII DUNIA...UNAULISHA UBONGO WAKO NEGATIVITIES TU ZA KIJINGA UNAJIBEBESHA MIZIGO NAFSINI MWAKO..YAAN UNATESEKA NA WATU WASIOKUHUSU[emoji28][emoji28]!
NGOJA NIKUWEKE IGNORE MAANA NAONA NAPOTEZA MUDA KUKUJIBU!
NAKUACHA NA NENO MOJA..."HAKUNA KISICHOWEZEKANA HAPA DUNIANI" ni wewe tu ubongo wako umeutune kwa angle ipi..bye lofa kapuku wahead wewe ambaye unaamini kila kitu hakiwezekan..endelea kufukuza ndoto...
Hata mimi ningekuwa jaji ule wosia ningeupiga chini, wosia gani ule watoto wake wakubwa wasipate kitu
Siyo kwamba walikuwa wasipate kitu waliandikiwa wapewe buku moja ( yaani sh 1000/=) !!Hata mimi ningekuwa jaji ule wosia ningeupiga chini, wosia gani ule watoto wake wakubwa wasipate kitu
Binafsi nilikuwa nawaza kama wewe ila jack alieleza kuwa kipindi mzee mengi anaachana na mkewe wa kwanza wale watoto walipewa urithi wao, mzee akabaki na mali alizobaki nazo ndio akaamua kumrithisha jack na wanawe mapacha