Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Sidhani kama ni kweli, marehemu aliliewa tu na mapenzi ya jacky, usikute aliandika hivyo kweli, mapenzi yana nguvu sana na yule mzee ki ukweli alimpenda Jacky
Unakataa nini na ripoti za madaktari zinaonyesha Mengi alikua mgonjwa? Huyi jacky at times alikua hadi anataka kupigana ili mzee asitoe speech maana hakua poa. Hii ilikua imsaidie kujilindia mipango yake ovu. Unafikiri memgi angekya hana hela angekaa hapo hivi?
 
Ujuaji wako tu unafikiri vinapatikana kirahisi? Hata kama Mengi alikuwa boya sio namna hiyo
We unakimuhe na mm balaa..roho yako inakuumaga kila ukiona nimeandika chochote...yaan unateseka balaa...pole mkuu..ww KILA KITU KWAKO HAKIWEZEKANI .YAAN KILA KITU UNAONA HAKIWEZEKANI CHINI YA HII DUNIA...UNAULISHA UBONGO WAKO NEGATIVITIES TU ZA KIJINGA UNAJIBEBESHA MIZIGO NAFSINI MWAKO..YAAN UNATESEKA NA WATU WASIOKUHUSU😅😅!
NGOJA NIKUWEKE IGNORE MAANA NAONA NAPOTEZA MUDA KUKUJIBU!
NAKUACHA NA NENO MOJA..."HAKUNA KISICHOWEZEKANA HAPA DUNIANI" ni wewe tu ubongo wako umeutune kwa angle ipi..bye lofa kapuku wahead wewe ambaye unaamini kila kitu hakiwezekan..endelea kufukuza ndoto...
 
Sidhani kama ni kweli, marehemu aliliewa tu na mapenzi ya jacky, usikute aliandika hivyo kweli, mapenzi yana nguvu sana na yule mzee ki ukweli alimpenda Jacky

Haya mapenzi Jacky angeyatumia kwa akili tangu mwanzo haya yasingemkuta
Kilimshinda nini tangu mwanzo wa mahusiano kujua alitakiwa kufanya yake?

Mzee Mengi alishakua na familia ambayo alichuma nayo hizo mali halafu yeye anapanga kuzichukua zote 😂😂 hii sio akili
 
Du! sio siri hapa kuna tatizo yani mlitaka wosia uwandikwe kipindi mtu bado yupo fresh.kwa mara ya kwanza maamuzi ya marehemu yanapigwa
 
We unakimuhe na mm balaa..roho yako inakuumaga kila ukiona nimeandika chochote...yaan unateseka balaa...pole mkuu..ww KILA KITU KWAKO HAKIWEZEKANI .YAAN KILA KITU UNAONA HAKIWEZEKANI CHINI YA HII DUNIA...UNAULISHA UBONGO WAKO NEGATIVITIES TU ZA KIJINGA UNAJIBEBESHA MIZIGO NAFSINI MWAKO..YAAN UNATESEKA NA WATU WASIOKUHUSU[emoji28][emoji28]!
NGOJA NIKUWEKE IGNORE MAANA NAONA NAPOTEZA MUDA KUKUJIBU!
NAKUACHA NA NENO MOJA..."HAKUNA KISICHOWEZEKANA HAPA DUNIANI" ni wewe tu ubongo wako umeutune kwa angle ipi..bye lofa kapuku wahead wewe ambaye unaamini kila kitu hakiwezekan..endelea kufukuza ndoto...
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binafsi nilikuwa nawaza kama wewe ila jack alieleza kuwa kipindi mzee mengi anaachana na mkewe wa kwanza wale watoto walipewa urithi wao, mzee akabaki na mali alizobaki nazo ndio akaamua kumrithisha jack na wanawe mapacha

Yaan uachane na mkeo uamue kumpa mkeo mali na watoto wako pia eti umalizane nao kabisa ukawape urithi wao ..

Yaan ni kama vile na wao unawataliki. sijawahi hiyo dunian na kwa kifupi uchagan haipo hio.. unless uligombana nao kwa kias kikubwa sana

Lakini watoto hao hao ndo bado walikuwa wanasimamia biashara zake na makampuni .. hv huon kauli yake ilikuwa na utata
 
Back
Top Bottom